July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Almost Everything in this thread may not be useful sababu tool ya Huawei Flasher ilotumika hapa haiko functional tenahivi mods wameunganisha hii thread au ni vipi? nimetafuta attachment ya gkiwango lakini siioni.. lile folder kuna hiki kipande sina "E1731Update_11.126.15.00.00.B 416" . mwene nacho anisaidie.. @Mwl.RCT
Almost Everything in this thread may not be useful sababu tool ya Huawei Flasher ilotumika hapa haiko functional tena
Hivo basi nenda Google tafuta hiyo Firmware ya E173 na kisha pakua Huawei Flasher 1.6 na itumie hiyo ku unlock modem
Jinsi ya kutumia hii Huawei flasher 1.6 tafuta thread ya wickerman "Jinsi ya ku unlock huawei E303 za Vodacom"
Hii tool inaitaji similar procedure kama za hapo
All the best
E303 zipo categories nyingi na kila moja ina style yakeMi nataka ku unlock huawei E303 msaada ?
E303 zipo categories nyingi na kila moja ina style yake
E303s-1 tafuta thread humu Jf ya Kimox Kimokole
E303s-1 Hi link(Inafungukia kwa browser) Tafuta Google docs ya gkiwango humu JF
E303h-1 MPya za Tigo ina trick yake ya Mwalimu RCT
E303h-1 Hi link modem za Airtel za karibuni pia na hii haina ujanja mpaka sasa
Je,yako ni ipi labda tukusaidie ku locate hizo thread
Watu wanatumia mkuu..Zile thread za Gkiwango naona zilifutwa yakupasa kutumia Google sasa
by the way bado kuna watu wanatumia hizi modem🙂,just asking?
Tumia Core i3-7 labda...au PC yenye RAM kuanzia 4GB
Mm nikitumia kwenye PC ya 2GB RAM inter inside processor ina stuck hivo lkn nikiiweka kwenye core i7 8GB RAM inaenda smoothly
mkuu we ilikubali vipi maana mm najaribu inasema no phone natumia windows 7 na net kwenye computer ipomimi mkuu natumia windows 8 qpst tool iliyo attached iligoma kwangu sasa nimefanikisha qpst tool kwenye thread ya e2themiza kuna mtu aliweka ya windows 8 kwa hiyo lile tatizo nililo present la NO PHONE Limekwisha hatua inayofuata ya MODEM FLASHER Inanambia CANT CONNECT TO SERVER BYE BYE Nanio connected kwenye net sasa siui tatizo ni nn?
Hiyo ni lazima uwaone mafundi yahitaji uwe na tools kama nck, infinity au sigma nkWakuu habari?
Mi naomba msaada jinsi ya ku- unlock Simu Vodafone vfd301 imefungwa inatumia voda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hii vcredist x86.exe ina siri gani aisee,kuna program ilizingua sana kuinstall kwa pc nikaweka iyo ndo ikakubali,Baada ya kuhangaika kimtindo,nimpata soln ya hii error niliyokua naipata wakati na install QPST.2.7.378,soln ni kudownload hiki kitu vcredist_x86,
link vcredist_x86.exe
nilipo install hiyo kitu (vcredist_x86,) ndipo nikaweza kuinstall QPST.2.7.378 bila error yoyote,
na nimefanikiwa kuflash na now inapiga kazi fresh,shukran kwa gkiwango na pia challenge nilizo kutuana nazo ni kama
wakati nafanya back up file langu nilisave kama vvv.qcn lakini wakati najaribu ku restore nikawa nikilocate ile back up yangu (vvv.qcn),ikawa inafail ku restore mpaka nilipodadilisha jina la back up yangu kutoka vvv.qcn to DEADD00D_0.qcn kama alivyosave gkiwango ktk picha zake,ndipo ikawa inakubali(sijui kama ni lazima kusave jina hilo,ila kwangu ilikataa mpaka nilipobadilisha jina) ndo ikakubali,challenge nyingine ni pale nilipoanza kurestore imei katika ile hatua ya mwisho ikawa inaenda mpaka 40% then dashboard ya huawei ikawa inafunguka,then ikawa ina fail kurestore mpaka nilipofuta baadhi ya support files ya dashboard yangu(niliogopa ku unstall dashboard yote kwa kuhofia inaweza futa na drivers) nikafanikiwa kurestore mpaka 100% bila kupata error yoyote kwakuwa dashboard ya huawei haikufunguka tena wakati na restore imei.now moderm inapiga kazi fresh,
big UP to gkiwango
nawasilisha.
Hiyo inahitaji unlock codes kwenye server gharama yake ni Tsh 5000 kama utahitaji nicheck hapa 0712842283Wakuu habari?
Mi naomba msaada jinsi ya ku- unlock Simu Vodafone vfd301 imefungwa inatumia voda tu
Sent using Jamii Forums mobile app