kolelosi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 828
- 1,981
Wakuu heri ya pasaka na poleni wote mnaoishi mabondeni kwa wazazi wa Dar kwa mvua hii inayoendelea.
Pia tusisahau kuchukua tahadhari dhidi ya kujikinga na ugonjwa hatari wa korona.
Turejee kwenye kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu nina king'amuzi cha star times nilikuwa sijakitumia muda mrefu kwa bahati mbaya ninesahau password hivyo kama kuna anayeweza kunipa namna ya kufanya niweze kukitumia.
Customers care hawana kabisa msaada tokea juzi nawapigia hawatoi majibu sahihi sana simu inakatwa na baadae hupati tena line.
DSTV mtuwekee channel za local kuliko haya mateso tunayoyapata.
Nina local channel napata ni tatu kupitia kwenye king'amuzi cha ndani ya TV
Nahitaji ipatikane ITV na zingine za FTA.
Chief-Mkwawa
Idimi
@Popah
na wote mnaofahamu hili karibuni kwa mawazo na mchango.
.
Pia tusisahau kuchukua tahadhari dhidi ya kujikinga na ugonjwa hatari wa korona.
Turejee kwenye kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu nina king'amuzi cha star times nilikuwa sijakitumia muda mrefu kwa bahati mbaya ninesahau password hivyo kama kuna anayeweza kunipa namna ya kufanya niweze kukitumia.
Customers care hawana kabisa msaada tokea juzi nawapigia hawatoi majibu sahihi sana simu inakatwa na baadae hupati tena line.
DSTV mtuwekee channel za local kuliko haya mateso tunayoyapata.
Nina local channel napata ni tatu kupitia kwenye king'amuzi cha ndani ya TV
Nahitaji ipatikane ITV na zingine za FTA.
Chief-Mkwawa
Idimi
@Popah
na wote mnaofahamu hili karibuni kwa mawazo na mchango.
.