The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Habari wapendwa,
Nalima kitunguu huko Dodoma hekari moja. Kuna mdgo wangu niliemwacha huko anapiga kazi katoka kunipia simu kitunguu kishaanza kwmuweka rangi ya njano hivi na vingine kudondoka kabisa.
Tatizo laweza kuwa nini na suluhisho lake nifanyeje?
Asante.
Nalima kitunguu huko Dodoma hekari moja. Kuna mdgo wangu niliemwacha huko anapiga kazi katoka kunipia simu kitunguu kishaanza kwmuweka rangi ya njano hivi na vingine kudondoka kabisa.
Tatizo laweza kuwa nini na suluhisho lake nifanyeje?
Asante.