Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,510
Amani iwe juu yenu,ni miezi 8 sasa imepita tangu nitembelewe na wageni shambani kwangu wazungu wawili na watanzania wawili wakiwa na bidhaa zao wanazouza na kukopesha,wakaniomba nikusanye wakulima wenzangu waje waone hiyo bidhaa,nikawataarifu wakulima wenzangu waje waone bidhaa hizo,wakatuonyesha pale jinsi ya kutumia huku wakipiga picha,leo tarehe 9/7 nimekuta nimetokea kwenye tangazo la bidhaa yao wanayouza bila makubaliano yoyote,naweza kuwashitaki?