tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,189
- 29,748
Wanajukwaa niseme tu ukweli.
Mwenzenu hali niliyoifikia ya kimaisha ya kuhusu uchumi,majukumu na mapenzi ni ngumu sana.Yani mambo hovyo hovyo yanaenda. Ni siku 3 Sasa kula nashindwa, kichwa muda wote kinauma na sijui nifanye nini?
Ingawa naona sijaharibikiwa kihiivyo BUT nauona umuhimu wa kupata msaada wa kisaikolojia.
Changamoto inakuja napataje huo msaada, Yani nani atanisaidia? Me ni client ninayeona ninahitaji msaada wa ushauri. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzenu hali niliyoifikia ya kimaisha ya kuhusu uchumi,majukumu na mapenzi ni ngumu sana.Yani mambo hovyo hovyo yanaenda. Ni siku 3 Sasa kula nashindwa, kichwa muda wote kinauma na sijui nifanye nini?
Ingawa naona sijaharibikiwa kihiivyo BUT nauona umuhimu wa kupata msaada wa kisaikolojia.
Changamoto inakuja napataje huo msaada, Yani nani atanisaidia? Me ni client ninayeona ninahitaji msaada wa ushauri. Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app