Nachokiwaza hapo ndo icho icho pale pa kuja kijiendeleza itajanichukua muda mwingine na gharama nyingi kwa upande wa afyaUshauri Wangu:
AFYA ( CO )
Faida
1.Ajira Ni Uhakika ( Serikalini & Private )
2.Miaka 3 Diploma, Na 2 Cheti
3.Ina Hadhi ( Title ) Katika Jamii
4.Uwezekano Wa Kuwa Boss Ni Mkubwa Katika Kituo Chako
5.Mshahara Wake Unaanza Na TGHS Kwa Diploma Mshahara Ambao Bachelor Degreewa Educ Ndio Anaanza Nao
6. Unapata Vijiwe Au Kujiajiri
HASARA
1.Ni Kujiendeleza, Na Ukitaka Kujiendeleza Mlolongo Ni Mrefu ( From Diploma, AMO ( 5 Years ) To MD ( 5 Years )
3. Ni Gharama Kubwa Kusoma ( Kwenye Private Unis Na Serikalini Competition Ni Kubwa
MECHANICAL ENGINEER
FAIDA
1. Cheap Kusoma ( Vyuo Vya Serikali )
2.Miaka 3 Diploma
3.Unaweza Kupata Vijiwe Au Kujiajiri
4. Unaweza Kujoin Jeshini Kama Unasifa ( Rafiki Yangu Kafanikiwa Kufanya Na Yuko Poa Tu, Analipiwa Ada Na Jeshi Kusoma Aircraft Eng Kwa Sasa NIT )
HASARA
1.Kazi Unapata Kwa Tochi
2.Vibarua Utaburuzwa Sana Na Kuwa Mchafu Sana Kwenye Magereji Bubu
Kazi Kwako , Ushauri Zaidi Ukitaka Uliza Tu
Soma Afya Kama Huna Nia Ya Kuhangaika Sana, Na Usiji- Limit Sana Kwenye CO Unapotaka AfyaNachokiwaza hapo ndo icho icho pale pa kuja kijiendeleza itajanichukua muda mwingine na gharama nyingi kwa upande wa afya
Mi navyoona unahitaji maslah zaid ya taaluma,Ila yte sawa mi namawazo tofauti na wenzangu,,,NtakuambiaNataka taaluma pia maslai ya taaluma nitakayoipata,
Nikiwa na taaluma alafu maslai yakawa madogo itakuwa haina maana tena, maana wengi nimewaona wana taaluma nzuri tuu ila wapo mtaani tangu naanza form one paka Leo ni zaid ya miaka mitano hawana ajira ndio maana lazima niangalie na manufaa nitakayo yapata kutokana na taaluma nitakayoipata
Kivipi mkuuKama hiyo injinia unasoma bongo acha huo umbafu kabisa utajuta
AsanteAfya iko poa kk piga CO hautajuta
Sawa Naelewa mkuu ila kwa upande Wang na mazingira niliyosomea ni ufaulu wa juu hapo ni kwa masomo ya sayansi mengine yaliyobakia nilifanya vizur kuliko hayo yote ya sayansiSoma unachokipendaa .afu huo sio ufaulu wa juu sana kama unavyojipambanua wee ni survival tyuu ilaa hongera mtu chake umejitahd
Bongo utapga msuli kufa then practical utakuwa shalo halafu + kutafuta kazi za uhandisi n mateso dunia kuliko kazi za afya pia kujiajili afya n rahis zaid kama laboratory pharmacy watu kila siku wanaumwaKivipi mkuu
Ushauri Wangu:
AFYA ( CO )
HASARA
1.Ni Kujiendeleza, Na Ukitaka Kujiendeleza Mlolongo Ni Mrefu ( From Diploma, AMO ( 5 Years ) To MD ( 5 Years )
Kutoka CO kwenda MD sio lazima upitie AMO, na pia AMO ni miaka miwili sio mitano
Mimi binafsi nakushauri ukasome ualimu wa sayansi na hisabati kuliko kwenda kusomea mambo ambayo yanaweza kukupa shida mbeleni, na siyo fani zote za afya mbeleni zitaendelea kuwa na soko kwa mfano ufamasia kwa siku za usoni upepo wake wa ajira hatutakuwa mzuri sana, kumbuka maisha ni kuchagua