Fredrick Mmari
Senior Member
- Jul 8, 2013
- 144
- 37
SureAjira kwa sasa si za uhakika kwa afya kama watu wanavyodhani, kuna intake kama mbili hivi kitaa hazijaajiliwa. Think about three/four years to come!!! Chagua kitu cha kusoma kwa kuangalia uwezekano wa kujiajili na wala si kuajiliwa
Mimi ningeshauri asome General Agriculture,ni easy kujiajiri uwapo na maarifa maana hautafanya kilimo na ufugaji locally