Msaada kipi chakufanya baada ya majibu ya rita

Msaada kipi chakufanya baada ya majibu ya rita

Amani Ndoroma

Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
71
Reaction score
21
Samahani...najarbu Ku upload tens kweny website yao ya mikopo baada ya vyeti vyng kuwa certified by Rita...lkn chaa ajabu naambiwa file already being uploaded..sijui nafanyaje aisee naomba msaada wako
 
Pasua kichwa, Mimi naandikiwa Already uploaded, that document will be replaced, ushauri wenu tafadhali kwasababu simu zao ziko busy muda wote.
 
Nilitoka board ya mikopo jana jielezeni vizuri niwasaidie maana me nilifanikiwa ku upload cheti cha mtu cha kuzaliwa kutoka rita , nashindwa kufahamu nyinyi mnadhindwa wapi.
 
Nilitoka board ya mikopo jana jielezeni vizuri niwasaidie maana me nilifanikiwa ku upload cheti cha mtu cha kuzaliwa kutoka rita , nashindwa kufahamu nyinyi mnadhindwa wapi.
Mimi cheti nimehakiki Rita ila kwenye list ya walio kosea nipo ila hawaja specify nini shida ya cheti changu cha kuzaliwa, ila nikiingia kwenye akaunti yangu shida wanasema hivi (Already uploaded, the existing document will be replaced) sasa nashindwa kujua nini tatizo langu...
 
Shida yako ni kwamba hauku upload cheti chenye muhuri wa rita , pia tatizo jingine watu walikua hawa upload cheti coloured na zingine details hazisomeki
 
Shida yako ni kwamba hauku upload cheti chenye muhuri wa rita , pia tatizo jingine watu walikua hawa upload cheti coloured na zingine details hazisomeki
Cheti kilikuwa na mhuri wa rita, na je vipi kwa ambao wametumia cheti walicho hakiki mwaka Jana
 
Back
Top Bottom