Msaada, Kikuu online market

Msaada, Kikuu online market

Mtu mbalimbali

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,008
Reaction score
1,994
habari zenu wana jf
naomba ushauri kutoka kwa wazoefu wa online marketing hasa kupitia kikuu maana kuna mzigo nataka kuagiza ila sina uhakika na ubora wa bidhaa zao na ukweli kuhusu features wanazo toa na pia kuhusu delivery.
hivyo kwa anaejua basi naomba anajulishe kuhusu hayo mambo
bidhaa yenyewe ni hii kwenye picha
asante!
Screenshot_20210402-150227.jpeg
 
Mmmh !
Hiyo simu ni ya kampuni gani iliyoitengeneza tuifatilie specs zake
 
watakuwa samsung hao
Me samsung fan mzee
Ingekuwa note 25 imetoka nisingeuliza ningekuwa nishajua hiyo SAMSUNG

Kwa mujibu wa mtandaoni ni LENOVO
ila siioni katika official site zao ili nijue specs zake halisi bei
na imetoka mwaka gani
Ila kwa taarifa za awali ni MTK jamii ya tecno and CO
 
Simu feki hyo mkuu. Achana nayo. Nakuhakikishia kuwa haina 512GB storage wala 12GB RAM. Haipo hyo kitu kwa laki 2. Na hakuna samsung note 25 or s25. Latest samsung ni S21 series na zinaanzia 2Milion kwenda juu. Yaan ni bora ukananunue tecno kkoo ya hela hyo itakua simu bora kuliko hilo kopo hapo
 
Simu feki hyo mkuu. Achana nayo. Nakuhakikishia kuwa haina 512GB storage wala 12GB RAM. Haipo hyo kitu kwa laki 2. Na hakuna samsung note 25 or s25. Latest samsung ni S21 series na zinaanzia 2Milion kwenda juu. Yaan ni bora ukananunue tecno kkoo ya hela hyo itakua simu bora kuliko hilo kopo hapo
asante kamanda
 
Simu feki hyo mkuu. Achana nayo. Nakuhakikishia kuwa haina 512GB storage wala 12GB RAM. Haipo hyo kitu kwa laki 2. Na hakuna samsung note 25 or s25. Latest samsung ni S21 series na zinaanzia 2Milion kwenda juu. Yaan ni bora ukananunue tecno kkoo ya hela hyo itakua simu bora kuliko hilo kopo hapo
kwa bei hiyo simu ipi ni bora
 
Simu feki hyo mkuu. Achana nayo. Nakuhakikishia kuwa haina 512GB storage wala 12GB RAM. Haipo hyo kitu kwa laki 2. Na hakuna samsung note 25 or s25. Latest samsung ni S21 series na zinaanzia 2Milion kwenda juu. Yaan ni bora ukananunue tecno kkoo ya hela hyo itakua simu bora kuliko hilo kopo hapo

Uzi umefungwa kikamilifu!
 
Kuna jamaa yangu alijichanganya kulinunua![emoji1787][emoji1787][emoji1787] network ya bongo imedunda. Akaipeleka kwa vishoka, wakaikorokochoa ikawa inashika kwa mbaali! Hasa akiwa town au karibu na minara. Ila alifanikiwa kuwarudishia na mpunga akarejeshewa.
 
Kama unataka kununua huko.kitu kwanza akikisha hicho kitu kwel kinatengenezwa hiyo kampun (nunua bidhaa ambayo kampuni yake inajulikana), soma maelezo ya bidhaa kwa umakini, na usiwe na haraka na hiyo bidhaa maana mda mwingne huwa wanachelewa kwenye delivery.
Faida: sio wezi ukilipia lazma utatalewa tu mzigo wako
 
Hawa jamaa mara nyingi wanauza Mitumba ya Simu kwa Kampuni Kubwa kama IPhone, Samsung, Oppo, Huawei, Xiaomi, Vivo, Meizu, HTC,LG, NOKIA, Motorola. Kidogo Xiaomi ndo wameanza kuuza simu mpya.
Ukiagiza simu huchukua siku 28-hadi 45 kwa wale tulioko mikoani. Ila kwa kweli simu zao ni za Ukweli.
Kama wadau walivyokushauri usinunue simu usiyoifahamu, angalia Makampuni maarufu kama nilokutajia hapo juu. Kwa mfano kama umetulia kuna OPPO yenye RAM 6GB na Rom 128 GB inauzwa kwa TZS. 400,000/= almost ni mpya japo ni mtumba.
Jaribu pia uangalie Reviews za watu walokwisha nunua bidhaa kwa huyo seller.
Kwa ufupi hawa jamaa ni waaminifu sana. Lakini unahitajika moyo wa uvumilivu sana kusubiria mzigo wako. Jambo jingine kama uko mbali na Makao makuu ya Mkoa, hii ni changamoto, mzigo unaishia mkoani tofauti na Aliexpress ambao wao wanakuletea hadi Posta ya karibu au Wilayani.

Screenshot_2021-04-03-05-02-45-87_6d902ec58978f4ccc4cf00b37b405675.jpg
 
Hawa jamaa mara nyingi wanauza Mitumba ya Simu kwa Kampuni Kubwa kama IPhone, Samsung, Oppo, Huawei, Xiaomi, Vivo, Meizu, HTC,LG, NOKIA, Motorola. Kidogo Xiaomi ndo wameanza kuuza simu mpya.
Ukiagiza simu huchukua siku 28-hadi 45 kwa wale tulioko mikoani. Ila kwa kweli simu zao ni za Ukweli.
Kama wadau walivyokushauri usinunue simu usiyoifahamu, angalia Makampuni maarufu kama nilokutajia hapo juu. Kwa mfano kama umetulia kuna OPPO yenye RAM 6GB na Rom 128 GB inauzwa kwa TZS. 400,000/= almost ni mpya japo ni mtumba.
Jaribu pia uangalie Reviews za watu walokwisha nunua bidhaa kwa huyo seller.
Kwa ufupi hawa jamaa ni waaminifu sana. Lakini unahitajika moyo wa uvumilivu sana kusubiria mzigo wako. Jambo jingine kama uko mbali na Makao makuu ya Mkoa, hii ni changamoto, mzigo unaishia mkoani tofauti na Aliexpress ambao wao wanakuletea hadi Posta ya karibu au Wilayani.

View attachment 1741825
Shida sio kikuu au aliexpress. Shida ni hyo simu alionesha hapo ni fake. Yaani achana na simu feki kabisa ni matatzo. Ni bora anunue kma ww ulivyofanya, simu inayotoka kwenye company inayojulikana
 
Kikuu hawana shida, tena unaletewa mzigo mpka mtaani kwako..
Hapo shida ni hiyo simu, mbona kwa akili ya kawaida kabisa inaonekana ni fake?
 
Simu feki hyo mkuu. Achana nayo. Nakuhakikishia kuwa haina 512GB storage wala 12GB RAM. Haipo hyo kitu kwa laki 2. Na hakuna samsung note 25 or s25. Latest samsung ni S21 series na zinaanzia 2Milion kwenda juu. Yaan ni bora ukananunue tecno kkoo ya hela hyo itakua simu bora kuliko hilo kopo hapo
Umenena ukweli zaid 💪💪
 
hao jamaa watumie kuagiza vitu vidogo vidogo tu,vitu vya laki kwenda juu,unatafuta pressure tu.
 
Shida sio kikuu au aliexpress. Shida ni hyo simu alionesha hapo ni fake. Yaani achana na simu feki kabisa ni matatzo. Ni bora anunue kma ww ulivyofanya, simu inayotoka kwenye company inayojulikana
Mkuu, pia nakubaliana na wewe. Kuna jamaa huku alinunua simu kama hiyo katika hali halisi ilikuwa Ram 512Mb Rom 8Gb. Pia haikupita muda TCRA waliiblock.
 
asanteni wakuu acha nijichange niingie dukani mwenyew naona kununua online ni mauzauza tu
 
Mkuu Jitahidi kuwa unasoma feedback review za wateja kwenye post husika. Kwa kufanya hvyo utapata majibu kama bidhaa ni kimeo au sio kimeo.
 
Back
Top Bottom