Ziko sababu Nyingi za kunifanya nimiliki silahaKwa nini unataka kumiliki silahaa!!??
Ukiwa na mkono mrefu haya mambo ya kujiridhisha wala hayapo. Ila ukijifanya kufuata utaratibu utasubirishwa sana.mkuu bia ukilipia tu unapewa haraka,ila silaha hapana kwakweli lazima watu wajiridhishe.
angalia huko marekani mtoto wa miama 17 anakwenda dukani anauziwa silaha anakwenda kulipua watoto wa miaka 6 kisa walimzomea,huu ni ufala wala sio usasa.
SheriaSherKuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
SKuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
Bora Sheria ziwe na ukilitimba hivyo hivyo maana idadi ya wagonjwa wa akili imekuwa kubwa tz.Kuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
yah hili tatizo.Sure lakin, Concern yangu ni kuwa, Angalau Kuwe na Ombi la kibali, alafu likipita ndo upewe ukanunue Silaha. Sio kulipia usichokuwa na uwakika kama utakipata
wenye mikono mirefu wengi taarifa zao ziko peupe.Ukiwa na mkono mrefu haya mambo ya kujiridhisha wala hayapo. Ila ukijifanya kufuata utaratibu utasubirishwa sana.
Ni kwa Hayo tuZiko sababu Nyingi za kunifanya nimiliki silaha
Sababu kuu
1. Kujilinda binafasi na Mali ninazomiliki na kuilinda jamii inayonizunguka kwa eneo nnaloishi
2. Biashara nnayofanya, inashabiana na banking na Money point.
3. Huwa nnasafiri sana
Kwamba ukaamua kuachana nayo!!Nililipiaga Bastola Tsh. 2,700,000 pale Tanganyika Arms mwaka 2015 mwanzoni ,process zinakaanza mpaka kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kinondoni kipindi kile DC Alli Happi na RC Makonda mwaka 2016 huo nikahojiwa vizuri tu, ghafla nikatakiwa kwenda kusoma nje kwa miaka 4 PhD duuuh!!!
Nikajiuliza sasa itakuwaje hii Silaha?? Nikafunga safari mpaka dukani Tanganyika Arms pale Stesheni nikamkuta Meneja wa Duka nikamsomesha,uzuri ni mchanga hakuwa na noma, akaniuliza tu utaniachaje, nikamwambia nipe ml.2 hiyo Laki Saba pata ya Chai, akachukua ile Risiti yangu akaniambia baada ya saa moja muamala utasoma nikasema poa, ndani ya Nusu saa tu akawa amenitumia 2ml, nikamshukuru mambo yakawa yameisha hivyo
Mwambie atumie pesa,kuna watu wanatoa vibali ndani ya wiki 2 au mweziKuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
Revolver inabeba kuanzia risasi 6 na kubwa inabeba 8 kma sikoaei,kibali chake ni rahisi maana inahesabiwa kama bunduki kubwa sio pistolRevolver (bastola ya risasi 5) nani anajua bei yake
Ha ha ha ha Mmasai kwan Sio MtanzaniaSasa chifu,,hiyo avatar yako mbona inaogopesha tena,, wewe ni mmasai sio!! Na Unataka bunduki ukailipue serikali huko ngorongoro eti
Namna Tu ya KuitumiaMwambie atumie pesa,kuna watu wanatoa vibali ndani ya wiki 2 au mwezi
Hahahaaaa jokes mkuu,,, ila sina uhakika masai wote kama ni watanzania,
...Miaka 14? Kuna Silaha Tena Hapo? SI Milioni zake kama Mbili hivi Zimeishayeyuka!Kuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
Nipate ushauri kwako, kama nilihitaji, niwe na badget ya kiasi Gani, Yani kununua, ku push kwa wazee ilimradi nipate kwa haraka? Vipengele Gani huwa watavihitaji? Maswali Gani wataniuliza?Niliporudi kutoka masomoni Cheo kikapanda mara dufu ofisini,so nilitumia short cut tu kuipata fasta japo mlolongo wa kuanzia Serikali ya Mtaa,Kata nk niliufanya lakini ka-Cheo kapya kalisaidia mchakato kwenda haraka tofauti na awali
Je usipoinunua na kibali umeishapata na ukampa mtu kibali. Lazima utaratibu uwe mgumu kupata. Ukilaisisha tutauana kama Marekani. Mtu anakujuta na demu wake anakuwasha ucku ukiwa club. Bora hivyo. Mie mwenyewe mwaka wa 2 sasa danadana napigwa ila nina imani mwaka huu naweza kumaliza utaratibuKama ndo hivyo hapo kuna mambo hayapo sawa... sheria ibadilishwe!
Wangeweza kusema ukachague silaha husika upewe details zake dukani kisha upeleke tu sampo kwenye ofisi zao wakuandalie kibali ndipo kisha ukanunue silaha husika
Kweli ukifa kwa ajali au kawaida hela yako inakuwaje maake kwa xax silaha PISTOL ya bei rahisi ni mil 3,500,000/- au inakuwa sawa na mtu akifa na hela iko kwenye Line cm ya voda au tigo INALIWA NA MTANDAOSure lakin, Concern yangu ni kuwa, Angalau Kuwe na Ombi la kibali, alafu likipita ndo upewe ukanunue Silaha. Sio kulipia usichokuwa na uwakika kama utakipata