Mkono wake mfupi huyoKuna rafiki yangu alilipia silaha kwenye moja ya maduka ya serikali almaarufu mizinga leo ni miaka14 kuichukua imeshakua hadithi za Bunuas, kupata kibali ni changamoto ndugu vikao vya kamati ya ulinzi vina mlolongo sana, sheria zetu za umiliki wa silaha bado ni ya kikoloni
Ingefaa unaambatanisha na profoma invoice na sio risiti ya manunuzi.Sure lakin, Concern yangu ni kuwa, Angalau Kuwe na Ombi la kibali, alafu likipita ndo upewe ukanunue Silaha. Sio kulipia usichokuwa na uwakika kama utakipata
Kumbuka hiyo silaha ni kama umeazimizwa tu hata kama umeinunua pesa mrefu ukiitumia vibaya au kizembe serikali inaichukua tena bila fidia,anyway kumiliki silaha sio kitu kizuri sana kama hauna umuhimu sana,sio km watoto wa Rchuga akipata pesa kidogo anakimbilia kumiliki pistol unakuta yupo anacheza pool huku kainua shirt/t-shirt ili masela waione,huo ni ushamba,ukimiliki silaha atakiwi mtu baki kujua hata mwanao hafai kujua labda km anajitambuaKweli ukifa kwa ajali au kawaida hela yako inakuwaje maake kwa xax silaha PISTOL ya bei rahisi ni mil 3,500,000/- au inakuwa sawa na mtu akifa na hela iko kwenye Line cm ya voda au tigo INALIWA NA MTANDAO
Ikitokea nimekufa je hiyo silaha inaruhusiwa kutumiwa na ndugu zangu kama watoto kaka dada baba mama au mke?Kumbuka hiyo silaha ni kama umeazimizwa tu hata kama umeinunua pesa mrefu ukiitumia vibaya au kizembe serikali inaichukua tena bila fidia,anyway kumiliki silaha sio kitu kizuri sana kama hauna umuhimu sana,sio km watoto wa Rchuga akipata pesa kidogo anakimbilia kumiliki pistol unakuta yupo anacheza pool huku kainua shirt/t-shirt ili masela waione,huo ni ushamba,ukimiliki silaha atakiwi mtu baki kujua hata mwanao hafai kujua labda km anajitambua
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Hao wagonjwa wa akili wenye pesa hupewa haraka.Sheria
S
Bora Sheria ziwe na ukilitimba hivyo hivyo maana idadi ya wagonjwa wa akili imekuwa kubwa tz.
Nyie ndio mnatupa shida mitaa ya Morogoro kuna mwamba alitutishia bastola halafu akifyetua juu
Tulikimbia kama swala



Kifo we kisikie tu kwa mwenzio
huku kwetu jirani yangu kila siku anatongoza mke wa jamaa yetu sasa wakati anatongoza kumbe mme mtu yupo nyuma yake anamwangalia mguu wa kuku kiunoni basi alivyomuona tu alitoka mbio hii siku ya tatu hajarudi


Nmesoma hii comment saa 9 na robo usku aiseee imebidi nicheke huku nmeziba mdomo ili wife asje shtua akaulza nachekea nnNyie ndio mnatupa shida mitaa ya Morogoro kuna mwamba alitutishia bastola halafu akifyetua juu
Tulikimbia kama swala





et kama swala
huku kwetu jirani yangu kila siku anatongoza mke wa jamaa yetu sasa wakati anatongoza kumbe mme mtu yupo nyuma yake anamwangalia mguu wa kuku kiunoni basi alivyomuona tu alitoka mbio hii siku ya tatu hajarudi



