usatz
Member
- Sep 4, 2016
- 96
- 45
Hapa mimi ndo sielewi au, Maana naambiwa kabla sijapata kibali cha kumiliki silaha natakiwa niinunue kwanza, na ibaki dukani ndo nifuatilie kibali
Je, nikinyimwa hicho kibali si inakula kwangu?
Au kuna namna naweza fuatilia kibali kwanza ndo nikalipie silaha baada ya kupata kibali?
Je, nikinyimwa hicho kibali si inakula kwangu?
Au kuna namna naweza fuatilia kibali kwanza ndo nikalipie silaha baada ya kupata kibali?