gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Ipi mkuu. Ielezee bas ilivyoishaKwan ile kesi ya kule Marekani iliishaje?
Majibu mnayo.
Kazi njema
kwenye penal code hakuna kifungu kinachoonyesha mwanaume anaweza kubakwa, labda sheria iwe amended. ila mwanaume anaweza kulawitiwa.Naam!
Salaam wakuu,
Kuna dogo mmoja, ni mdogo wangu, ameanza sheria tu mwaka wa kwanza yupo. Sasa karudi home mara moja, anajiona tayari ni DA (District Attorney)
Ubishi ulikua ni kwamba, JE MWANAMUME ANAWEZA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI KUWA KABAKWA NA MWANAMKE AKASHINDA? Yeye anasema ndiyo. Mimi ninasema hapana.
Hoja anazotumia kujisapoti ni kuwa, iwe mwanamke au mwanamke akimfanyisha mwenzie ngono bila ridhaa yake, sheria ni ile ile inatumika kwa jinsia zote kutoa adhabu. Kwaiyo kama mwanamke kamforce mwanamume kufanya mapenzi pasipo na ridhaa ya mwanaume huyo na uthibitisho ukawepo, basi mwanamke huyo atahukumiwa kwa kubaka.
Kwa upande wangu nilimwambia kuwa hakuna mwanamume ataweza kushinda kesi ya kubakwa kutokana na ukweli kuwa, tendo lile ni la kisaikolojia, na kama mwanamume haupo willing kulifanya, basi ni vigum kwa jogoo kuwika kwa ajili ya kufanya ivyo. Kwaiyo, hadi jogoo kuwika na kufanya hilo tendo, maana yake ulikua psychologically willing kufanya hivyo. Kwahiyo mwanamume huyo hakubakwa bali alifanya akiwa willing hayo mapenzi.
*Je, wanasheria mlioko humu, kuna kesi ya mwanamume kubakwa na mwanamume huyo akashinda hiyo kesi?*
Nenda shule za boarding za wasichana utabakwa lazimaNajitolea kuwa case study,aje mdada anibake alafu tuangalie vipengele vya sheria vitahukumuje
Kifo hicho,we huntakii memaNenda shule za boarding za wasichana utabakwa lazima
Ni kweli mkuu mwanaume hawezi kubakwa kwa kuwa psychologically hiyo haiwezekani.Kufuatana pia na anatomy yake hiyo pia haiwezekani.Hata hivyo kwa kuwa wanasheria wengi hawajui anatomy au psychology, out of ignorance wanaweza kusema inawezekana,usishangae.Naam!
Salaam wakuu,
Kuna dogo mmoja, ni mdogo wangu, ameanza sheria tu mwaka wa kwanza yupo. Sasa karudi home mara moja, anajiona tayari ni DA (District Attorney)
Ubishi ulikua ni kwamba, JE MWANAMUME ANAWEZA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI KUWA KABAKWA NA MWANAMKE AKASHINDA? Yeye anasema ndiyo. Mimi ninasema hapana.
Hoja anazotumia kujisapoti ni kuwa, iwe mwanamke au mwanamke akimfanyisha mwenzie ngono bila ridhaa yake, sheria ni ile ile inatumika kwa jinsia zote kutoa adhabu. Kwaiyo kama mwanamke kamforce mwanamume kufanya mapenzi pasipo na ridhaa ya mwanaume huyo na uthibitisho ukawepo, basi mwanamke huyo atahukumiwa kwa kubaka.
Kwa upande wangu nilimwambia kuwa hakuna mwanamume ataweza kushinda kesi ya kubakwa kutokana na ukweli kuwa, tendo lile ni la kisaikolojia, na kama mwanamume haupo willing kulifanya, basi ni vigum kwa jogoo kuwika kwa ajili ya kufanya ivyo. Kwaiyo, hadi jogoo kuwika na kufanya hilo tendo, maana yake ulikua psychologically willing kufanya hivyo. Kwahiyo mwanamume huyo hakubakwa bali alifanya akiwa willing hayo mapenzi.
*Je, wanasheria mlioko humu, kuna kesi ya mwanamume kubakwa na mwanamume huyo akashinda hiyo kesi?*
😀😀😀🙁🙁Najitolea kuwa case study,aje mdada anibake alafu tuangalie vipengele vya sheria vitahukumuje
Nitampa huu ushauri. Kwaiyo kwa mujibu wa sheria, hakuna kesi ya mwanamume kubakwa?Ubakaji kwa maana ya tafsiri chini ya kanuni ya adhabu (Kifungu 130)ni dhidi ya mwanamke tu mwambie huyo mdogo wako, linapofanya tofauti na kifungu hiki ni kosa jingine (sexual assault) mwambie apitie vyema Sura ya 15 ya Kanuni ya adhabu aache uvivu.
Kulawitiwa si analawitiwa na mwanamume mwenzie mkuu?kwenye penal code hakuna kifungu kinachoonyesha mwanaume anaweza kubakwa, labda sheria iwe amended. ila mwanaume anaweza kulawitiwa.
Muulize vizuri, atakuwa anafahamuKulawitiwa si analawitiwa na mwanamume mwenzie mkuu?
Hivi kuna uwezekano mwanamke kumlawiti mwanamume?
Tusipotoshe watu wewe na wenzako pitieni gang rape, hii ndiyo circumstance pekee under Penal Code ambapo mwanaume anaweza kubakwa.Mwanaume hawezi kubakwa na mwanamke ,rape is a male offence,pia ili kuprove kwamba mwanamke hawezi kubaka angalia ingredients za kosa la rape that is actus reus na mens rea,mens rea ni consent na actus reus ni penetration however slight,mwanamke huwa hawezi kuingilia yeye ndie huingiliwa therefore mwanamke hawezi kubaka.
Huyo mdogo wako mwambie asome vzuri rape section 130 ya penal code ,,anajaribu kupotosha ummaNaam!
Salaam wakuu,
Kuna dogo mmoja, ni mdogo wangu, ameanza sheria tu mwaka wa kwanza yupo. Sasa karudi home mara moja, anajiona tayari ni DA (District Attorney)
Ubishi ulikua ni kwamba, JE MWANAMUME ANAWEZA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI KUWA KABAKWA NA MWANAMKE AKASHINDA? Yeye anasema ndiyo. Mimi ninasema hapana.
Hoja anazotumia kujisapoti ni kuwa, iwe mwanamke au mwanamke akimfanyisha mwenzie ngono bila ridhaa yake, sheria ni ile ile inatumika kwa jinsia zote kutoa adhabu. Kwaiyo kama mwanamke kamforce mwanamume kufanya mapenzi pasipo na ridhaa ya mwanaume huyo na uthibitisho ukawepo, basi mwanamke huyo atahukumiwa kwa kubaka.
Kwa upande wangu nilimwambia kuwa hakuna mwanamume ataweza kushinda kesi ya kubakwa kutokana na ukweli kuwa, tendo lile ni la kisaikolojia, na kama mwanamume haupo willing kulifanya, basi ni vigum kwa jogoo kuwika kwa ajili ya kufanya ivyo. Kwaiyo, hadi jogoo kuwika na kufanya hilo tendo, maana yake ulikua psychologically willing kufanya hivyo. Kwahiyo mwanamume huyo hakubakwa bali alifanya akiwa willing hayo mapenzi.
*Je, wanasheria mlioko humu, kuna kesi ya mwanamume kubakwa na mwanamume huyo akashinda hiyo kesi?*
Hii sheria umesoma WAP? Ya mwanaume anaweza kulawatiwakwenye penal code hakuna kifungu kinachoonyesha mwanaume anaweza kubakwa, labda sheria iwe amended. ila mwanaume anaweza kulawitiwa.
Naam!
Salaam wakuu,
Kuna dogo mmoja, ni mdogo wangu, ameanza sheria tu mwaka wa kwanza yupo. Sasa karudi home mara moja, anajiona tayari ni DA (District Attorney)
Ubishi ulikua ni kwamba, JE MWANAMUME ANAWEZA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI KUWA KABAKWA NA MWANAMKE AKASHINDA? Yeye anasema ndiyo. Mimi ninasema hapana.
Hoja anazotumia kujisapoti ni kuwa, iwe mwanamke au mwanamke akimfanyisha mwenzie ngono bila ridhaa yake, sheria ni ile ile inatumika kwa jinsia zote kutoa adhabu. Kwaiyo kama mwanamke kamforce mwanamume kufanya mapenzi pasipo na ridhaa ya mwanaume huyo na uthibitisho ukawepo, basi mwanamke huyo atahukumiwa kwa kubaka.
Kwa upande wangu nilimwambia kuwa hakuna mwanamume ataweza kushinda kesi ya kubakwa kutokana na ukweli kuwa, tendo lile ni la kisaikolojia, na kama mwanamume haupo willing kulifanya, basi ni vigum kwa jogoo kuwika kwa ajili ya kufanya ivyo. Kwaiyo, hadi jogoo kuwika na kufanya hilo tendo, maana yake ulikua psychologically willing kufanya hivyo. Kwahiyo mwanamume huyo hakubakwa bali alifanya akiwa willing hayo mapenzi.
*Je, wanasheria mlioko humu, kuna kesi ya mwanamume kubakwa na mwanamume huyo akashinda hiyo kesi?*