Hizo kozi ni ngumu kwa mazingira ya kibongo kibongo kama hiyo ya pili ndio pasua kichwa kabisa utaishia kuzungusha masufuria mitaani.Kama unataka kusoma finance bora usome accountance(uhasibu) maana hiyo ni fani kama uanasheria au uhandisi hasa ukipiga na CPA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.