Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 465
- 842
shakamooni wakubwa zangu, poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri nimepata kuchaguliwa lakini matokeo yangu ya advance yananiruhusu kwenda chuo kikuu na tayari nimesha apply.. nauliza tu kwamba ni namna gan ya ku unconfirm kujiunga na diploma ili npate chaguliwa chuo kikuu au hakuna madhara yyte kuomba degree na diploma kwa wakat mmoja.
Ahsanteni
Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri nimepata kuchaguliwa lakini matokeo yangu ya advance yananiruhusu kwenda chuo kikuu na tayari nimesha apply.. nauliza tu kwamba ni namna gan ya ku unconfirm kujiunga na diploma ili npate chaguliwa chuo kikuu au hakuna madhara yyte kuomba degree na diploma kwa wakat mmoja.
Ahsanteni