rajiih
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 477
- 715
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kazi kwa pamoja na ugumu wa January hii naomba kuwasilisha hili suala langu kwenu.
Niko na mpenzi wangu kwa kitambo sasa na Ameonyesha upendo wake kwangu kwa kadri ya awezavyo pia iko hivyo kwangu.
Jambo ambalo linalitatiza ni pindi tukiwa Faragha na mwenza wangu imekua ikisikika harufu ya haja kubwa kiasi kupelekea hisia zangu kukata katikati ya tendo hii si mara ya kwanza kwake. Baada ya uvumilimu kufikia ukomo ilibidi nimuulize kunani lakini amekua akisusa na kuanza kulia kiasi napatwa na Majonzi pengine nmemdhalilisha na kumletea unyanyapaa wa kiwango cha juu.
Mashaka yangu pengine anaingiliwa Kinyume na maumbile nami ananificha nasema hivi kwa maana kuna baadhi ya style hatakii kabisaa na kwa mara kadhaa amekua akisema nanukuu `` Mbona unang'ang'ana hizo style unataka unif*le nini aargh!! m stakii na sijazoea kabisa kama huwezi hivi hivi bhasi.
Wakuu nawasilisha.
Niko na mpenzi wangu kwa kitambo sasa na Ameonyesha upendo wake kwangu kwa kadri ya awezavyo pia iko hivyo kwangu.
Jambo ambalo linalitatiza ni pindi tukiwa Faragha na mwenza wangu imekua ikisikika harufu ya haja kubwa kiasi kupelekea hisia zangu kukata katikati ya tendo hii si mara ya kwanza kwake. Baada ya uvumilimu kufikia ukomo ilibidi nimuulize kunani lakini amekua akisusa na kuanza kulia kiasi napatwa na Majonzi pengine nmemdhalilisha na kumletea unyanyapaa wa kiwango cha juu.
Mashaka yangu pengine anaingiliwa Kinyume na maumbile nami ananificha nasema hivi kwa maana kuna baadhi ya style hatakii kabisaa na kwa mara kadhaa amekua akisema nanukuu `` Mbona unang'ang'ana hizo style unataka unif*le nini aargh!! m stakii na sijazoea kabisa kama huwezi hivi hivi bhasi.
Wakuu nawasilisha.