- Thread starter
- #81
Haya bhanazitakua za Afghanistan make zipo kama bomu
Haya bhanazitakua za Afghanistan make zipo kama bomu
Nitaweza kumtoka endapo nitajua c yanguHiyo ina mwenyewe ila sio wewe
Umetegeshewa
KwannBora shule zifunguliwe tu
YearKumbe mko udom
Wapi wwUkisex matokeo ni mimba
Mpaka leo na upo chuo hujui mimba inaingiaje even if yupo safe days. kalenda huwa zinabadilika kulingana na mazingira so njia ya withdraw au kupiga ukiamini yuko free days madhara yake ndiyo hayo ya mimba zisizotarajiwa. wewe jiandae kulea mtoto maana kwa akili zenu za ki chuochuo mtaweza kwenda kutoa. Usije ukafikia hukoHabari za wakati huu wanajf:
Naombeni uelewa ktk hili:-
Nimekua na mahusiano na msichana mmoja wa kichaga tangu November 2015 tukiwa first year UDOM. Nimekuwa 'nikifanya' nae mara kadhaa ila mimi sijawahi kutumia salama. Juzi kati nikaomba nifanye nae akakubali na nilimuuliza unaeleewa uko katika wakati gani kwa sasa? Akadai yuko free na kwa hivyo hakuna shida.
Tukafanya hivo ila baada ya siku mbili mbele akasema anaumwa tumbo, nikamuuliza unaumwa kiaje? Akanijibu nahisi ni mimba. Sasa naomba mnieleweshe katika free days mwanamke anaweza kushika mimba? Na kama ndyo dalili za mimba zinaonekana muda gani baada ya tendo???
Nawasilisha!
ndugu yangu hii ni Jamii Forums, kwenye msafara wa njiwa mikunguru lazima iwe pembeni, na walivyokuona New Member watakufanyia kila aina ya dhihaka, usiwajali, we wazoe maana humu wapo "wakamilifu" kila anaeleta suala lake haachwi kubezwa na kutukanwaVitu vingine havitakagi ujuaji!!!
Hivyo nikaamua kuomba ushauri kwa kweli sielewi chochote kuhusu hili yaani free days then mimba tena after two days hili geni kwangu. Hebu nisaidie
Nani kakwambia ukifanya two days mwanamke hawezi kushika mimba? Unaweza ufanye mwaka na usishike so kuingia kwa mimba hakutoagi taarifa kuwa leo ndo naingia au la,we tulia jipange kuitwa baba tu hapoSiogopi sema tu ni hili LA kufanya 2 days afu ananiambia mimba