be the red
Member
- Dec 5, 2016
- 62
- 38
Hana mimba huyo bali anakupima imani siku ikiwa kweli utafanyaje!!but upande wa pili mmba haiwez onekana after 2days na kama anayo basi hiyo mimba siyo yako
Ukipenda michezo ya kikubwa bila kutumia kinga uwe tayari hata momba ya kubambikiwa!!!Ungekuwa karibu stick zingekuhusu ili somo likuingieUuuuuuuuuuuuiiiiiuuiif nn? Umeona? Duh! Sawa ushauri tu
Thanks black womaniInawezekana unabambikiwa nenda hosp kwa vipimo watakwambia ina muda gani
Thanks ilah pia anakataa kwenda kupimaKama vp mkapime bila hivyo utalea watoto wa rafiki zako
Oooooooh nishasahau jinsi ya Ku::::::::Sawa mkuu jamaa anaitaji kujua free days,ni vema tukamsaidia badala ya kubishana tu.
Kama hivyo hana mimba,atakwambia umpe hela akaitoe!..jiongeze.Thanks ilah pia anakataa kwenda kupima
Mmmmh kutoa aiseeeee simshauri kama kweli ni yangu nitaelea bila shidahKama hivyo hana mimba,atakwambia umpe hela akaitoe!..jiongeze.
Yeye yupo tayari kwa Hilo?,hayo Ni maamuzi ya wote wawili sio mmoja..Mmmmh kutoa aiseeeee simshauri kama kweli ni yangu nitaelea bila shidah
Bado hajazungumzia chochoteYe
Yeye yupo tayari kwa Hilo?,hayo Ni maamuzi ya wote wawili sio mmoja..
Acha zako we unafikiri ni za nchi gani???baada ya siku mbili akajua ana mimba mmh hizo mbegu zako sio za nchi hii.....
zitakua za Afghanistan make zipo kama bomuAcha zako we unafikiri ni za nchi gani???
AiseeeeeHiyo ina mwenyewe ila sio wewe
Umetegeshewa