- Thread starter
- #41
Nimekuelewa sanahuyo hana mimba na kama ana mimba basi sio yako anakuuzia kesi huyo. Yani mlale leo then kesho akwambie ana mimba sayansi ya wapi hiyo? Unless awe alishapata sa anatafuta mtu wa kumbambika ila kitanda hakizai haram boss we lea tu kama ipo kweli