- Thread starter
- #21
Unaombwa wakati ganiUshauri hauombwi wakati umeshamkojolea mwenzio
Unaombwa wakati ganiUshauri hauombwi wakati umeshamkojolea mwenzio
Wakat unaomba uchi ulikuja kuomba ushauri?!Unaombwa wakati gani
anakuzingua2 may be alikua nayo before mimba co kama mayai2 yanatagwa ovyoAsanteeee mkuuuuu ila ananirusha mapigo ya Moyo kweli kweli
Kwa mwandikoo huu n aibu kwa walioko udomudom ?
Mkopo nimepata NDGUmepata mkopo lakin au ndo machungu ya kukosa mkopo unamalizia kwenye kupiga mbunye ??
Asante kwa ushauri wako ndgKampime wew siunakumbuka siku yamwisho kkutana mchukue mkapime mtalamu atakuambia ina mda gani hiyo mimba alafu kaa Chin piga esabu zako jbu utapata usikubali kuwa bwege nihilo tu
Nadhani sio muda wa kuhukumiana we toa ushaur kwanza then hukumu ifuateWakat unaomba uchi ulikuja kuomba ushauri?!
Kama ulikuwa una ogopa kwa nini ulifanya?Asanteeee mkuuuuu ila ananirusha mapigo ya Moyo kweli kweli
Oooooooh sawa usser but nahic unishauri kwanza then ndo uanze kunikosoaKwa mwandikoo huu n aibu kwa walioko udom
Siogopi sema tu ni hili LA kufanya 2 days afu ananiambia mimbaKama ulikuwa una ogopa kwa nini ulifanya?
Salama kabisa ilah!! Duh!!; mimba zingineZa asubuhi Baba kijacho ???
Nimependa ushauri wako mkuuhuyo hana mimba na kama ana mimba basi sio yako anakuuzia kesi huyo. Yani mlale leo then kesho akwambie ana mimba sayansi ya wapi hiyo? Unless awe alishapata sa anatafuta mtu wa kumbambika ila kitanda hakizai haram boss we lea tu kama ipo kweli