Hello Wanajamii, ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri hapa ukumbini baada ya kuvutiwa na fikra za maana hapa. Mm ni mwanafunzi wa BA Political science and Economic mwaka wa mwisho nchini India, matumaini yangu ni kua Balozi mbeleni kuiwakilisha nchi yangu ni kozi nogo zipi zinanifaa ili kufanikisha malengo yangu?