Johnson json
Member
- Aug 20, 2023
- 37
- 52
- Thread starter
- #21
Pamojakila la kheri mkuu
Pamojakila la kheri mkuu
Mi nimempa ushauri tokana na machaguo yake..mining&mineral=petroleum engineeringSasa kila mtu asome Civil au Mechanical ndugu?
Kwani ukichukua petroleum unaweza pga 2 in 1,,,I mean unaweza pga Kaz zote mbil ukichukua iyo petroleumMi nimempa ushauri tokana na machaguo yake..mining&mineral=petroleum engineering
Nend ardhi geomaticsNaomba ushauri hivi kati ya Mining Engineer na Mineral Processing Engineer ipi ni nzuri kwa soko la ajira nimepangiwa DIT mining engineer.
Nataka kubadili ndiyo maana nauliza kwanza wakuu.
Naomben ushauri
Je naangalia kwenye soko la kujiajiriMineral processing engineering ni kozi isiyo ni competition sana sokoni,
Ukisikia au kuona tu posts zake zimetangazwa hesabu umepata kazi.
Ila ndio ujiandae kukaa bench hata 2 and more years kusubiria posts zake serikalini au binafsi ila utaajiliwa tu (10
Ipo je kwa zote mbili ambayo naweza gain fasterJe naangalia kwenye soko la kujiajiri
Sasa madini yenyewe ya kuchimba yapo wapi jaman maana naona kama tumeyagawa yoteNaomba ushauri hivi kati ya Mining Engineer na Mineral Processing Engineer ipi ni nzuri kwa soko la ajira nimepangiwa DIT mining engineer.
Nataka kubadili ndiyo maana nauliza kwanza wakuu.
Naomben ushauri
Hizo sina uzoefu nazo ila kama kuna uwezekano wa kubadili na kama huna connection nenda kasome moja kati ya hizi..Naomba ushauri hivi kati ya Mining Engineer na Mineral Processing Engineer ipi ni nzuri kwa soko la ajira nimepangiwa DIT mining engineer.
Nataka kubadili ndiyo maana nauliza kwanza wakuu.
Naomben ushauri