Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Ziki la dola elfu 10 utalisikiliz na nani?Mkuu naongelea maisha ya watu wa daraja la kati Tanzania! Hizo ulizoorodhesha za dola elfu kumi na zaidi Utakuwa unagusia vigogo na mafisadi!
Ila katika hali ya kawaida mtu unaenda kununua mziki wa zaidi ya dollars 10,000 wa nyumbani ni ufahari au? Ingekuwa kwa ajili ya kumbi za starehe sawa kabisa lakini si vinginevyo!