SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Teufel wako poa?Au unaweza nunua speaker system na subwofer za Teufel (mjerumani) au acoustic system (UK).
Teufel wako poa?Au unaweza nunua speaker system na subwofer za Teufel (mjerumani) au acoustic system (UK).
Sound Systems, Loudspeakers and Headphones - Bang & OlufsenHii kitu inapatikana wp mkuu?
Sio kweli mkuu. Huwezilingalisha Sony na Pioneer, Denon, Bose, B&O etcKwa upande wa music system Sony wako vizuri kuliko hizi kampuni zingine, tafuta ya kuanzia watts 600.
McIntosh Reference Music System: Our Most Powerful 2-Channel Home Audio SystemHuo ni muziki wa nyumbani au?! [emoji15]
Mkuu hizi vitu zote zinapatikana hapa TZ? Au mpaka kuagiza?Sony ni brand nzuri ila kwenye sound receivers na amps wako nyuma kwa sana tu uliinganisha na Pioneer, Denon, Maratz,
Kwa kuwa budget yako sio ndefu basi fanya combination kama ifuatavyo:
Nunua sound receiver Ya Pioneer Au Denon au hata Yamaha au Onkyo
Nunua set Ya speakers na sub ya Harman Kardon
Hapo utakuwa poa sana tena budget yake itakuwa around $2,000 plus
Epuka home theater/sarround system zinazouzwa kwenye box moja. Hizo ni za wanafunzi wa college
Asante
Teufel ni hatari sana, mziki jiwe. Nilibahatika kuzikuta Kwa jamaa yangu nchi jirani yani niligundua mziki ninao ringia home (Panasonic) ni taka taka tu.Teufel wako poa?
Good to know. Uko sahihi kuhusu Panasonic. Ni wachovu kwenye area hii.Teufel ni hatari sana, mziki jiwe. Nilibahatika kuzikuta Kwa jamaa yangu nchi jirani yani niligundua mziki ninao ringia home (Panasonic) ni taka taka tu.
Una patikana amazon.co.uk, japo sio mtaalam wa sound system lakini nikisikia mziki wenye ubora najua kwamba hiyo kitu ni kali.
Ukihangaika bongo unaweza kupata kama utakosa basi najua Nairobi hukosiMkuu hizi vitu zote zinapatikana hapa TZ? Au mpaka kuagiza?
Pamoja sana mkuu, hapa nilipo na save pesa Kwa ajili ya kuagizia music system Kwa mtandao toka nje. Roho yangu imeshikwa na hizo mbili (Teufel, Acoustic systems), wakati ukifika itabidi nirushe shilingi Kwa sababu zote nazijua.Good to know. Uko sahihi kuhusu Panasonic. Ni wachovu kwenye area hii.
Nina passion Ya music systems na asante sana for sharing this
Kaka huyu mtu kasema kuwa kazichanga changa wewe una mpa budget ya dola 2,000. Ambayo ni sawa na milioni nne...Sony ni brand nzuri ila kwenye sound receivers na amps wako nyuma kwa sana tu uliinganisha na Pioneer, Denon, Maratz,
Kwa kuwa budget yako sio ndefu basi fanya combination kama ifuatavyo:
Nunua sound receiver Ya Pioneer Au Denon au hata Yamaha au Onkyo
Nunua set Ya speakers na sub ya Harman Kardon
Hapo utakuwa poa sana tena budget yake itakuwa around $2,000 plus
Epuka home theater/sarround system zinazouzwa kwenye box moja. Hizo ni za wanafunzi wa college
Asante
Nimekupata mkuuKaka huyu mtu kasema kuwa kazichanga changa wewe una mpa budget ya dola 2,000. Ambayo ni sawa na milioni nne...
Huyu hata kama hataki kusema budget yake ila nina uhakika mzika anaoutaka sidhani kama unazidi milioni moja... Huyu ni laki sita ameenda sana laki saba .. Pesa ya pressure...
Labda Dar ya zamani, siku hizi wauzaji wamekariri brands, Sony, LG, na sumsung, siku hizi hakuna Toshiba, Philips, sasa hio Pioneer, technics na hizo zako nadhani hakuna namna mpaka NairobiUkihangaika bongo unaweza kupata kama utakosa basi najua Nairobi hukosi
Mkuu unauzaje huo mziki?Kaka mimi nina kitu sony DAV-sc6
Nikuuzie?
Ni hatari huo mziki.. Nenda google.. Niliuchukua nchi za watu
kupanga na mziki wapi na wapiView attachment 324431
Kaka kama umepanga huu mziki haukufai, hautaufaidi..
Umeniacha hoi sana mkuu.....eti wabongo wamekariri lolLabda Dar ya zamani, siku hizi wauzaji wamekariri brands, Sony, LG, na sumsung, siku hizi hakuna Toshiba, Philips, sasa hio Pioneer, technics na hizo zako nadhani hakuna namna mpaka Nairobi
Laki nane LG, Logik, RCA, Hisense, Westpoint au Samsung utapata mkuuKweli kila mtu na passion yake jamani, mi mtu akinambia ninunue music system siwezi zidisha 800k.
Sasa watu mnawaza mziki wa 10,000$ mnataka kufungua studio ndogo???
Mkuu naongelea maisha ya watu wa daraja la kati Tanzania! Hizo ulizoorodhesha za dola elfu kumi na zaidi Utakuwa unagusia vigogo na mafisadi!Sio kweli mkuu. Huwezilingalisha Sony na Pioneer, Denon, Bose, B&O etc