mpambanaji1
Member
- Dec 31, 2013
- 36
- 32
wakuu poleni na pilika pilika za za hapa na pale!!
Wakuu naomba msaada ufuatao kutoka kwenu!!
1. Nahitaji kujua chuo mahiri kinachotoa mafunzo ya udereva kwa dar es salaam!!
2. Gharama ya mafunzo!!
3. Muda wa mafunzo!!
Na hii ni kwa ajili ya kupata uelewa wa kuendesha magari ya kawaida si ya abiria wala mizigo!!
Naomba kuwasilisha na kama nimeweka kwenye jukwaa ambalo si sahihi mtanisamehe wadau!!
Tafadhali naomba ushirikiano wenu!!
Wakuu naomba msaada ufuatao kutoka kwenu!!
1. Nahitaji kujua chuo mahiri kinachotoa mafunzo ya udereva kwa dar es salaam!!
2. Gharama ya mafunzo!!
3. Muda wa mafunzo!!
Na hii ni kwa ajili ya kupata uelewa wa kuendesha magari ya kawaida si ya abiria wala mizigo!!
Naomba kuwasilisha na kama nimeweka kwenye jukwaa ambalo si sahihi mtanisamehe wadau!!
Tafadhali naomba ushirikiano wenu!!