C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Wakuu habari zenu ebwana kuna mtu(mpenzi wangu) nataka nipate details zake ana naona kuna mabadiliko makubwa na kwa kuwa ni mjanja nahisi anachat na kidume kingine kwa facebook wakati mimi ndio namuweka town so nataka nimpige kibuti nikiwa na strong reason hawatumii simu coz kuogopa ninaweza kuwanasa bali wanatumia facebook nimechunguza anakuwa busy sana na facebook akiwa kazini ndio muda anaotumia kuwasiliana na huyo njemba so wadau nisaidieni jinsi ya kuhack account yake coz kama kuna mtu ana software ya kuhack naomba unitumie
mimi ni white hacker sina madhara wakuu naomba msaada wenu coz hamjui ninavyoumia...
Naumia sana
mimi ni white hacker sina madhara wakuu naomba msaada wenu coz hamjui ninavyoumia...
Naumia sana