habari zenu wadau,
naomba kwa yeyoye anayefahamu jinsi ya kutuma flash message anisaidie
habari zenu wadau,
naomba kwa yeyoye anayefahamu jinsi ya kutuma flash message anisaidie
ahsante Mkuu,lakini kwenye nokia E6 mbona sioni hii option? au sijakupata kisawasawa?Hio inakua ni option ya simu mfano ukiclick option ya new message inakuuliza text message, flash message au Email
Hio inakua ni option ya simu mfano ukiclick option ya new message inakuuliza text message, flash message au Email
ahsante Mkuu,lakini kwenye nokia E6 mbona sioni hii option? au sijakupata kisawasawa?
ahsante Mkuu,lakini kwenye nokia E6 mbona sioni hii option? au sijakupata kisawasawa?
Faida za Flash messaging ni nini wakuu ?
Flash message ukituma mtu akisoma inapotea haikai inbox kama alivosema lunya so faida zake ni kama
Kutukana mtu, kumtongoza demu alafu akikutaa unabisha hujamtongoza maana hana ushahidi inbox na venginevo
Flash message ukituma mtu akisoma inapotea haikai inbox kama alivosema lunya so faida zake ni kama
Kutukana mtu, kumtongoza demu alafu akikutaa unabisha hujamtongoza maana hana ushahidi inbox na venginevo