Inabidi uwe na ABC za electrical/ electronics.
Kinachofanyika hapo ni induction. Iyo charger inafanya kazi kwa mfumo kama Transformer. Kunakuwa na coil mbili. Primary na Secondary. Primary side inakuwa connected outlet socket ma upande wA secondary unakuwa konected na Simu.
Pia lazima ujue katika transformer tunadeal na AC current tuu na sio DC.
Pia kumbuka vifaa vya electronic vinatumia DC Current ivyo inabidi uwe na njia ya kufanya ku badiri current toka AC kuja DC (Rectification)
Hapo nimeona umezungusha coil kwenye waya wau upande wa USB na upande wa Jack ya simu ukitegemea umeme uvuke upande mmoja kwenda mwingine kwa njia ya induction au magnetism. Hicho kitu hakiwezekani sababu hapo unacheza na umeme wa DC ivyo inabidi ubadirike kwenda AC current ili uwe umefanya kitu kama transformer. Pia pia lazima ujue kwa umeme huo mdogo, magnetic fields haziwez safiri kwa umbali mrefu ivyo unatakiwa uwe na kitu kama iron au vibati vya chuma vitakavyo safirisha magnetic fields btn Coils au utafute ule mkaa wa kwenye Redio za zamani za analogy zinazotumia Variable capacitor au tunaita Genge kutafuta station.
Kwa kifupi hapo kuna mambo yanafanyika kwa kufuata formulas fulani za umeme ili kuleta matokeo channya.
Nimependa aidia yako pia nakusifu kwa uthubutu maana umekata hadi USB yako



Kama una maswali utaniambia. Ili nikucholee na mchoro nini ufanye ili ufanikiwe