KABIDI BODO
Senior Member
- Jan 19, 2017
- 184
- 252
Wakuu naombeni anaefahmu namna ya kupata VISA ya Panama maana hawana ubalozi nchini kwetu Tanzania
Asante mkuu, nitafanya hivoNi vyema kufika wizara husika na kuuliza taratibu zikoje,nadhani ni wizara ya mambo ya nje