Msaada: Jinsi ya kupata Passport kwa uharaka

Msaada: Jinsi ya kupata Passport kwa uharaka

Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri

Ok..kama wazazi wamefariki..?
 
Mpaka hapo uko sawa ila akiishia hapo atasubiri passport yake mwaka mzima!!

Baada ya kuwa na hiyo 130,000 atafute tena kama laki mbili au mbili na nusu kama ana nia ya kupata ndani ya siku nne au wiki moja!!
Upo sahihi, Ki ofisi ni 150,ila huwez pata Kw bei hyo mpaka uwe na laki 350
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri
Upo vizuri
 
Kama una emergency inayohiyaji passport haraka, ukipeleka vitu wanavyohiyltaji asubuhi, mchana unachukua passport. Bila rushwa wala nini.

Ni lazima kweli iwe emergency mfano matibabu.

Kwa hali ya kawaida, kupata passport ni siku 7 hadi 14. Mi nilipata siku 7 tu. Bila rushwa wala chochote.

Kitambulisho cha taifa kimerahisisha maana wakati wa kuomba kitambulisho, tulipeleka vyeti vya kuzaliwa NIDA kwa afisa wa uhamiaji. Kwa hiyo muda wa kuhakiki ni mfupi.
 
NIDA Nilijiandikisha mtaani kwetu lakini waliopoenda kuingiza kwenye system ni kituko yani badala ya Anotherperson wakaandika Anotherpeson 'r' ya mwisho haipo sijui nafanyaje hapa
 
Kama una emergency inayohiyaji passport haraka, ukipeleka vitu wanavyohiyltaji asubuhi, mchana unachukua passport. Bila rushwa wala nini.

Ni lazima kweli iwe emergency mfano matibabu.

Kwa hali ya kawaida, kupata passport ni siku 7 hadi 14. Mi nilipata siku 7 tu. Bila rushwa wala chochote.

Kitambulisho cha taifa kimerahisisha maana wakati wa kuomba kitambulisho, tulipeleka vyeti vya kuzaliwa NIDA kwa afisa wa uhamiaji. Kwa hiyo muda wa kuhakiki ni mfupi.

Wewe umebahatika sisi wengine wametaka vyeti vya kuzaliwa vya wazee wetu waliokufa 1959, mwisho wakatupa kiswahili cha kuzunguka mbuyu , huku na kule zikatutoka 50 000,

Hii ndiyo Serikali ya CCM
 
Barua ya maombi
Barua ya mtendaji
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa
Kujaza fomu online unalipia 20000 (ujaze taarifa sahihi) kisha unaprint kuna sehem mwanasheria inabidi akusainie agonge muhuri kwenye hiyo fom
Cheti /affidavit ya mzazi mmoja
Barua ya mwaliko au dhumuni la hiyo safari kama umealikwa
Vingine kama vya ziada vitahitajika watakuambia wenyewe
Uwe na laki na 30 kama ukikubaliwa nyaraka zako

Kila la kheri
Je kama huna nia ya kusafiri ila unataka kuitumia kwa matumizi mengine, mfano Mimi nafanya Freelancing kwenye website fulani sasa wanahitaji niverify identity kwa kutumia passport, hapo natakiwa niwaelezeje Ili wanipatie passport na kama sina Cheti cha kuzaliwa cha mzazi inakuwaje?
 
Back
Top Bottom