Habari wakuu,
Nina mpango wa kwenda Vienna-austria Kisha nielekee United kingdom.naomba kupewa miongozo kwa sababu Ni Mara yangu ya kwanza na ninaenda kibiashara zaidi na sjawahi kusafiri nje ya nchi kabisa japo Nina passport toka 2021 .
Naomba kupewa miongozo ifuatayo tafadhali.
1.Ni kampuni gani ya ndege iko vzur na nauli ikoje kwa daraja la kawaida?
2.visa ya Austria Ina cost Kias gani na changamoto zake katka kuipata?
3.ni documents gani lazima niwe nazo Kama mfanyabiashara ili niweze kupata hyo visa?
4.document gani lazma ztahitajika kabla ya kuasifiri mfano cheti Cha Corona ili niweze kusafiri na vna cost shi ngap?
Naomba mchango wenu wakuu na Kama Kuna ya ziada tofauti na hayo manne wakuu.
Shukran.
Nina mpango wa kwenda Vienna-austria Kisha nielekee United kingdom.naomba kupewa miongozo kwa sababu Ni Mara yangu ya kwanza na ninaenda kibiashara zaidi na sjawahi kusafiri nje ya nchi kabisa japo Nina passport toka 2021 .
Naomba kupewa miongozo ifuatayo tafadhali.
1.Ni kampuni gani ya ndege iko vzur na nauli ikoje kwa daraja la kawaida?
2.visa ya Austria Ina cost Kias gani na changamoto zake katka kuipata?
3.ni documents gani lazima niwe nazo Kama mfanyabiashara ili niweze kupata hyo visa?
4.document gani lazma ztahitajika kabla ya kuasifiri mfano cheti Cha Corona ili niweze kusafiri na vna cost shi ngap?
Naomba mchango wenu wakuu na Kama Kuna ya ziada tofauti na hayo manne wakuu.
Shukran.