Ndio kwanza ana 20, msamehe.Aise,watu wanataka pesa wewe unataka ndevu?hii balaa sasa,anyway,usiwe na haraka,umri bado mdogo huo vumilia tu.
Itakusaidia hii sio utaniJikwangue na viwembe hata kama ndevu hakuna ndio utakua unaziita
Huyo siwez kumpata mkuuView attachment 653121jaribu ku-PM huyu jamaa huenda akakusaidia kuzipata
Kuanzia 25 mkuu ndio ndevu huwa zinachanganyia.Hadi umri gani mkuu
Ni kweli kabisa mkuu, ata mi zimechanganya kuanzia 24Kuanzia 25 mkuu ndio ndevu huwa zinachanganyia.