Nkwenda Nkwililima
Member
- Jul 12, 2015
- 84
- 236
Habari ndugu zangu naomba mwenye kujua jinsi ya kupata namba za nida nazipata wapi na nini kinahitajika ili kukamilisha mchakato huu
Naombeni msaada kwa wenye kujua
Naombeni msaada kwa wenye kujua