Msaada jinsi ya kujikinga na majini

Msaada jinsi ya kujikinga na majini

Hata ukipewa mafusho atafukiziwa na nani huko shuleni.

Labda upatiwe mafuta ya upako au ya sharifu majini
 
Msaada pekee ni YESU tu. Kwanza kabisa kama upo karibu na makanisa ya kipentekoste nendeni mkapate msaada wa maombi.

Pili huyo binti wa kazi wenu wa zamani inaonesha alikuwa anapenda uchawi na inawezekana kabisa alikuwa mchawi, mapepo ya kawaida huwa hayasumbui sn kutoka. Ila uchawi ni mgumu, na utazidi kuwa mgumu kutoka kama mtu ameficha vitu vya siri nyumbani kwao. Kwa huyo binti wa kazi imeonesha kuna vitu hakutaka kuvitoa ndo maana majini yalikuwa yanarudi kwake.
 
Usihangaike kutafuta mfupa wa nguruwe wala kitu chochote kionekanacho, hakina msaada. Aliyeumba viumbe vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana ndiye mwenye uwezo wote juu ya viumbe hivyo. Kwa hiyo mwombe yeye, Yesu Kristo atafukuza mapepo yote mara moja. Kwanza mtambue Yesu kama Bwana na Mwokozi wako kwa kukiri hilo. Pili tubu dhambi zako, tatu mwombe akuondoe kutoka utumwani mwa shetani na mapepo yake, utaona matokeo yake siku hiyo hiyo. Endelea kuishi kikrisho ukisali na kuomba kila siku kwa Jina la Yesu Kristo.
 
Msaada pekee ni YESU tu. Kwanza kabisa kama upo karibu na makanisa ya kipentekoste nendeni mkapate msaada wa maombi.

Pili huyo binti wa kazi wenu wa zamani inaonesha alikuwa anapenda uchawi na inawezekana kabisa alikuwa mchawi, mapepo ya kawaida huwa hayasumbui sn kutoka. Ila uchawi ni mgumu, na utazidi kuwa mgumu kutoka kama mtu ameficha vitu vya siri nyumbani kwao. Kwa huyo binti wa kazi imeonesha kuna vitu hakutaka kuvitoa ndo maana majini yalikuwa yanarudi kwake.
Uyo binti wa kazi alikuwa changamoto sana, kwanza kulikuwa na mashuka mekundu na meupe alikuwa amepewa siku ya arusi uko kwao alikotoka kama zawadi na mama yake ndio alikuwa anayatunza, binti akawa anatuambia amewasiliana na mama yake ayachome moto, lakini shida ikawa inaendelea tukaona anatusumbua tuu.
Pili baada ya kuondoka ndio majirani wakawa wanatuambia kwamba binti alikuwa mzinzi sana, ndio tukaona kumbe tulikuwa tunatwanga maji kwenye kinu.
 
Uyo binti wa kazi alikuwa changamoto sana, kwanza kulikuwa na mashuka mekundu na meupe alikuwa amepewa siku ya arusi uko kwao alikotoka kama zawadi na mama yake ndio alikuwa anayatunza, binti akawa anatuambia amewasiliana na mama yake ayachome moto, lakini shida ikawa inaendelea tukaona anatusumbua tuu.
Pili baada ya kuondoka ndio majirani wakawa wanatuambia kwamba binti alikuwa mzinzi sana, ndio tukaona kumbe tulikuwa tunatwanga maji kwenye kinu.
Ndo hivyo Mkuu, cha kushangaza ni kwamba, wakati siku moja tukimhoji binti aliyekuwa mchawi, ambae cheo chake ni mtunza hazina huko kwenye ufalme wao akasema huwa wachawi wanafunza uchawi wakiwa wadogo kabisa.

Na sik hizi wimbi la mabinti wachawi ni kubwa mno, na wengi wao wakiwa ni maagent huko kuzimu.

Kama kuna mtu anapajua Morogoro kijiji cha Mafisa aniambie ili nimpe feedback ni namna gani tulivyomchakaza mkubwa wa wachawi kijiji hiko kwa njia ya maombi. Na mimi nitataja mpaka Jina la huyo mtu ili kuthibitisha kuwa hizi nguvu ni takataka tu kwa Yesu.
 
mfupa wa nguruwe mpaka jini awe muislam,akiwa mpagani anakufanyizia tu
Kweli aisee kuna siku tulitoka kwenye maombi na uyo binti wa kazi aliyekuwa na majini na yakaaga kwamba yametoka, kwa vile amepona tupite tupate mbuzi katoliki.
Basi tukapiga fresh na yeye akala tena anasifia kwamba mtamu kweli, tukajua yap majamaa yatakuwa yamesepa, usiku tumelala tukasikia shughuli chumbani kwake yako yanamchapa stiki kwa kosa lingine la kulala bila kuoga.
 
Bwana Yesu asifiwe, atafute kanisa iliyokaribu nae, awe anaabudu. Na wewe uweunamuombea kupitia jina la yesu, atapona.
 
Kweli aisee kuna siku tulitoka kwenye maombi na uyo binti wa kazi aliyekuwa na majini na yakaaga kwamba yametoka, kwa vile amepona tupite tupate mbuzi katoliki.
Basi tukapiga fresh na yeye akala tena anasifia kwamba mtamu kweli, tukajua yap majamaa yatakuwa yamesepa, usiku tumelala tukasikia shughuli chumbani kwake yako yanamchapa stiki kwa kosa lingine la kulala bila kuoga.
hhaha kumbe walikuwa wanazuga tuu bado wapo
 
Back
Top Bottom