Mokobe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 1,249
- 1,529
Ana option moja kuisalimisha tu maana hataweza kuitumiaJamaa amefeli hapo kila akiwasha inanitumia location then anazima
Fanya kufuatilia then utujulishe mkuu
iPhone siyo simu ya kuiba kabisa
Ana option moja kuisalimisha tu maana hataweza kuitumiaJamaa amefeli hapo kila akiwasha inanitumia location then anazima
Ana option moja kuisalimisha tu maana hataweza kuitumia
Fanya kufuatilia then utujulishe mkuu
iPhone siyo simu ya kuiba kabisa
Kwa asiyejua anaweza ona ni simpleHii simu huwezi Fanya spare kwa namna yeyote ile
Ana option moja kuisalimisha tu maana hataweza kuitumia
Fanya kufuatilia then utujulishe mkuu
iPhone siyo simu ya kuiba kabisa
Kwa simu ya aina ya mkuu hata kama haipo connected to wifi or cellular always shows it last location mkuuEti kila akiwasha bila network itume location hiyo sijui watu wanakalili mambo
Kwa asiyejua anaweza ona ni simple
Anahangaika bure tu chill kiasi kama ni mtu unaemhisi maana ni wazi hatawezana nayoTatizo anahama Hama location na password yangu alikua anaijua isipokua hyo iCloud account ndo hajui password yake so anahaha sana. Na tumeshatrace hadi simcard aloweka na bado yupo mkoa nilipo. Tumebaki tunajiuliza alikua na lengo la kuiba au linguine?
Ni kweli mkuu.
Last location kwa simu kama iPhone inajiset yenyewe kama simu inaisha charge au imezima na popote utakapoiwasha inaanza upya kusoma location ndo maana mkuu anasema ana hama hama locationUnafahamu maana ya last location
Basi fuatilia polepole tu maana hawezi kuitumia mpaka wakati huu kama ulifuata maelekezo ya find my phoneSio namhisi niyeye mkuu. Nilikua nimelala yeye kaamka katoroka na vitu Vya ndani ikiwemo hiyo simu. Alikua Kijana wa kazi.
Basi fuatilia polepole tu maana hawezi kuitumia mpaka wakati huu kama ulifuata maelekezo ya find my phone
Atarudisha au kuisalimisha
Last location kwa simu kama iPhone inajiset yenyewe kama simu inaisha charge au imezima na popote utakapoiwasha inaanza upya kusoma location ndo maana mkuu anasema ana hama hama location
Hapo ulifanya vyemaYeah Ninachoshukuru niliweka on find my iPhone. Na Ili aizime hii mode atalazimika kuweka password ya iCloud.
Kwa simu aina ya mkuu haina hiyo bossKwa ufafanuzi tu mdogo kuna simu iliyopotea na iliyoibiwa na iliyoisha moto last location itaonyesha eneo la mwisho wakati simu inashia moto kama ilipotea ni rahisi kuipata au inaweza tu kusaidia simu iliyoibiwa kujua eneo la mwisho mwizi alipoizima so kwa tz yetu iwe ambayo hakuna free wireless ni vigumu sana kutumia location bila mhusika kuweka line na kuwasha data
najqlibu tu kuona kwa nini kuna misinformation nyingi kwenye iphone wakati vitu vipo wazi
Kwenye iPhone battery na display ni vitu visivyo na thamani kabisa, ni bei rahisi tu. Na kuanzia iPhone 11 series ukibadilisha battery na display inakupa warning. Hata ukitumia programmer ile warning bado inakuja. Njia ya kuondoa hii message ni kuchukua battery controller kutoka battery ya zamani na kuihamishia au ic chip kutoka display ya zamani. Ameiba simu ya bei hvo ili aende kupewa laki 1 au laki 2 ya kioo na elf 50 - 80 ya battery. Dah inauma kweli.Lcd data , battery data zote wana weza kuprogram vifaa vipo ni swala la mda mfano ilipiyoka x na 11 battery na lcd zilikuwa zinazingua vifaa vikatoka vioo now hazileti ule ujumbe wa no genuine