Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

Wanaoiba hizi simu kali hawajui kama hawawezi tumia kwa laini nyingine, Wao huingiza tu laini baadae wanashangaa wanatiwa nguvuni mchana kweupe, Wavunje bank wachukue mzigo wa maana hata polisi wakipelekewa hio kesi wajue wanaenda kukutana na wapambanaji sio unaiba simu ya mfukoni itakusaidia nini?
 
Wanaoiba hizi simu kali hawajui kama hawawezi tumia kwa laini nyingine, Wao huingiza tu laini baadae wanashangaa wanatiwa nguvuni mchana kweupe, Wavunje bank wachukue mzigo wa maana hata polisi wakipelekewa hio kesi wajue wanaenda kukutana na wapambanaji sio unaiba simu ya mfukoni itakusaidia nini?

Yaani dogo nimemshangaa sana sana akili zake
 
kinachotrackiwa ni imei no,unapewa na namba za simi zinazosoma humo kwa wakati huo,kisha unaanza kuzitafuta.

Ngoja niitoe lost mode mkuu. Vipi kwa samsung S10 wanaweza change imei?
 
Ngoja niitoe lost mode mkuu. Vipi kwa samsung S10 wanaweza change imei?
android karibia zote bado zina udhaifu huu.

bahati ni kwamba wezi wengi hawajafunuka,huziflash kisha kuanza kutumia au kuuza.ni rahisi kumshika mwizi wa android zaid.
 
Wakuu polisi wamenambia Hadi awashe simu
Hapo utapigwa blah blah tu hadi uchoke,baada ya miezi hata 6 wataifuatilia kivyao vyao ili wapige pesa na waichukue wao,nishaona jamaa kakamatwa na simu aliyouziwa zaidi ya mwaka m1 uliopita,walimkamata bila tabu yoyote,akawapa simu na pesa wakamuacha aendelee na mambo yake
 
Ngoja niitoe lost mode mkuu. Vipi kwa samsung S10 wanaweza change imei?
Kuchangr imei wanaweza ila sio kwa mafundi wa kidosho. Lazima awe na diagnostic tools kutoka Samsung
 
1 hakikisha b imei yake
2.toa tayari polisi
3 Ondoa hiyo device kwe Icloud yako ili waweze kuitumia
4 usifanya haraka itachukua mda
 
Hata android kama umewasha,find my mobile ni vyema usiweke lock.
Ili iwe rahisi kwa mwizi wako kuitumia paspo kuflash.
Siku akiingiza line tu unamla kichwa.
 
Back
Top Bottom