Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

Find my phone ni mlinzi wa data zako kwenye iphone na kumfanya mwizi asiweze kuitumia......na wala sio kufanya uipate iphone yako

Ingia online wipe simu iphone yako na itoe kwenye icloud yako iwe free ili mwizi aweze kuitumia kisha umtrack kwa imei no

Mi iphone yangu nimezima kabisa find my phone na nimeiset ukikosea password mara kadhaa inaji restore ili atakayiiba aweze kuitumia nipate mwanya wa kumtafuta
 
Hata aki connect hotspot itaonekana number yake kule tcra. Na sijajua jamaa kaiba hyo simu ili iweje wakat hawezi kuitumia. Labda kma anataka kuuza spare
Una uhakika mkuu?
 
Una uhakika mkuu?
Ndio. Uki connect hotspot kwa simu nyingine information kma IP address, mac address, imei na info za source ya wifi yako bado zinaonekana kwa ISP (Internet service provider) wako
 
Ndio. Uki connect hotspot kwa simu nyingine information kma IP address, mac address, imei na info za source ya wifi yako bado zinaonekana kwa ISP (Internet service provider) wako
Inatumika mbinu gani ili waweze kuona infos zote za hiyo hostpots, unatakiwa uwasilishe nini ili kazi hiyo ifanyike kwa ufasaha?
 
Mfano niki erase data si inamaana sitaweza itrack tena?
mkuu usiwe na haraka kuamua ku erase data hiyo inaweza mpa nafasi aliyechukua ku access maana haitakuwa na security tena
kama unakumbuka icloud yako basi sign in then fungua find my phone app hii unaweza kutumia hata kwenye iphone nyingine kwa mtu mwenye app hiyo
ukishaweka details zako itakwambia uchague device na bila shaka aina ya hiyo simu itaonyeshwa unafinya select itakuonyesha location simu ipo unaweza fungua hiyo map ukaona
Kuna kitu kingine kwa simu hiyo kinaitwa ''Offline finding'' kama uliweka on basi hata kama ametoa line bado itaonyesha location ilipo
Unaweza kufika mpaka eneno husika kwa kufuata location unayoonyeshwa mpaka ukifika kabisa unachagua option ya sauti then simu hata kama imezima inaanza kutoa ringtone
Vyote hivi vinaweza kuwa rahisi ikiwa ''Find My Device''uliweka on kwenye settings au kwa kutumia hii ''Find My App''
Kama simu hiyo imeisha charge au ilizima last location ilipo vitatumwa kwa Apple kwahiyo bado utaweza kuona location yake
Kma matumaini ya kuipata yamegonga mwamba mkuu reply hapa nitakuelekeza namna ya kuifunga
 
siamini kwenye kuifanya spare simu aina hiyo
 
mkuu usiwe na haraka kuamua ku erase data hiyo inaweza mpa nafasi aliyechukua ku access maana haitakuwa na security tena
kama unakumbuka icloud yako basi sign in then fungua find my phone app hii unaweza kutumia hata kwenye iphone nyingine kwa mtu mwenye app hiyo
ukishaweka details zako itakwambia uchague device na bila shaka aina ya hiyo simu itaonyeshwa unafinya select itakuonyesha location simu ipo unaweza fungua hiyo map ukaona
Kuna kitu kingine kwa simu hiyo kinaitwa ''Offline finding'' kama uliweka on basi hata kama ametoa line bado itaonyesha location ilipo
Unaweza kufika mpaka eneno husika kwa kufuata location unayoonyeshwa mpaka ukifika kabisa unachagua option ya sauti then simu hata kama imezima inaanza kutoa ringtone
Vyote hivi vinaweza kuwa rahisi ikiwa ''Find My Device''uliweka on kwenye settings au kwa kutumia hii ''Find My App''
Kama simu hiyo imeisha charge au ilizima last location ilipo vitatumwa kwa Apple kwahiyo bado utaweza kuona location yake
Kma matumaini ya kuipata yamegonga mwamba mkuu reply hapa nitakuelekeza namna ya kuifunga
Tuelekeze na sisi ambao zetu hazijaibiwa au kupotea tuweke hiyo setting ili iwe rahisi kuipata
 
Hiyo simu isipo tukika kwa line utaweka kuipata kabisa sio kwa ip address
Simu isiyo na password huwa inapatikana haraka lakini data sio salama find my iPhone bila simu kuwasha wa kuweka data on hakuna
Je ataweza kuweka data on bila ku weka line labda kwa muujiza kama aliyeichukua hajui kitu ni probability ya 1:1
 
Tuelekeze na sisi ambao zetu hazijaibiwa au kupotea tuweke hiyo setting ili iwe rahisi kuipata
kuanzia iOs 13 setting>click jina>click Find My phone utafuata maelekezo
kwa iOs 12 na zilitotangulia unaingia setting>click jina>iCloud>Find my phone weka apple ID
kama find my iphone iko off weka on. maelezo mengine rahisi hapo utafuatiliza kuweka unavyotaka wewe
 
kuanzia iOs 13 setting>click jina>click Find My phone utafuata maelekezo
kwa iOs 12 na zilitotangulia unaingia setting>click jina>iCloud>Find my phone weka apple ID
kama find my iphone iko off weka on. maelezo mengine rahisi hapo utafuatiliza kuweka unavyotaka wewe
Umesomeka vyema
 
kuanzia iOs 13 setting>click jina>click Find My phone utafuata maelekezo
kwa iOs 12 na zilitotangulia unaingia setting>click jina>iCloud>Find my phone weka apple ID
kama find my iphone iko off weka on. maelezo mengine rahisi hapo utafuatiliza kuweka unavyotaka wewe

Jamaa amefeli hapo kila akiwasha inanitumia location then anazima
 
Ndo ipoje hiyo

Lcd data , battery data zote wana weza kuprogram vifaa vipo ni swala la mda mfano ilipiyoka x na 11 battery na lcd zilikuwa zinazingua vifaa vikatoka vioo now hazileti ule ujumbe wa no genuine
 
Back
Top Bottom