Unaweza jaribu find my iphone lakini fungua report polisi na uende kitengo cha cyber crime watatafuta simu yako. Tena kwa simu ya bei hyo wanaanza kushughulikia chapWakuu nimeibiwa Leo iPhone 12 pro max na kijana wa Kazi na kutokomea nayo. Je ni kwa namna gani naweza ipata?
Hata aki connect hotspot itaonekana number yake kule tcra. Na sijajua jamaa kaiba hyo simu ili iweje wakat hawezi kuitumia. Labda kma anataka kuuza spareShida ya hizi simu mtu hawezi tumia line yake mkuu
Nahisi kuchanganyikiwa
kama inazsumbua nenda polisi kwa msaada zaid i guessKweli kabisa. Maana spare atauza kioo, housing na battery ambazo sshv zinaleta warning ukibadilisha. Maana kwenye 12 series hata camera ukibadilisha haifanyi kaziHata kuuza spare haifai mkuu maana simu za sasa huwezi weka kwa simu nyingine
Labda hajui. Ila nenda cyber crime division pale oyster bay jamaa anaeza jichanganya akaingiza line yake. Wao wakijua tu line iliyowekwa ni ya nani watamtafuta huyo mtu mwenye hyo line hata kama akaitoa na kuzima simu.Ndo najiuliza hasa lengo lake ilikua nini
Labda hajui. Ila nenda cyber crime division pale oyster bay jamaa anaeza jichanganya akaingiza line yake. Wao wakijua tu line iliyowekwa ni ya nani watamtafuta huyo mtu mwenye hyo line hata kama akaitoa na kuzima simu.
watu wa iphones hasa za bei mbaya,niwashauri tu.
unapowasha find my iphone iweke kwenye sehemu ya kuirestore kila kitu iwe kama mpya endapo itaibiwa,ili mwizi aweke line ikamatwe.
hii ni katika namna ya kufanya bidhaa yako ya thamani isiishie mikono ya uharibifu na hatimaye kupotezwa kabisa kwa kupitia mafundi wa spare.
wengi wetu hatujui kwamba icloud haiko kwa ajiri ya simu ila data,lakini kwa wabongo simu ni muhimu kuliko data.
chukueni hiyo.
Hawezi badili imei number kwenye iPhoneIkiwa free si wataflash then itabadili imei mkuu?