Msaada,jinsi ya kuhack game

ze kokuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
7,476
Reaction score
9,654
Habari JF,baada ya kuhangaika mda mrefu hatimaye jana nimefanikiwa kuroot simu yangu ili niweze kuinstall app zenye uwezo wa kuhack games,lakin bahati mbaya sina ujuzi wa kuzitumia hzo apps kuhack game naomba mwenye kujua jinsi ya kuhack game anisaidie,game lenyewe ni Gunship battle 3d helicopter.

Chief mkwawa na wengineo mchango wenu ni muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…