Msaada: Jinsi ya kudesign website kwa wordpress

chilubi

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
8,182
6,214
Habari zenu wakuu.

Napenda kutengeza website as a hobby sasa katika research zangu nimekutana na wordpress wakisema kuwa unaweza kutengeza website ata kama sio mtaalamu wa coding.

Nimeinstall wordpress locally kwenye mac yangu tayari kila kitu kipi setup.

Tatizo linakuja katika kutaka kudesign page yenyewe. Kwanza nataka kutengeza layout ambayo iko divided into 3 columns, ambazo ni header, content na footer. Nataka niweke my own design. Sasa nashindwa kuanza nimebaki nahangaika.

Kwenye header ningependa kuwe na rows mbili, ya kwanza iwe na social media links plus contact details, ya pili yake ndio iwe na logo kushoto na kulia yake ni menu.

Nimehangaika sana wadau naomba msaada wenu.

Nawasilisha
 
ipo software inaitwa artisteer yenyewe ni drag and drop unadesign templates za wordpress, blogger, joomla etc.

design muonekano wote kwenye hii software kisha export kwenda wordpress.


alternative tumia photoshop, download themes yenye psd files zake kabisa kisha tumia photoshop kuimodify unavyotaka, sema itabidi baadhi ya features ziwe included tayari kwenye hio themes sababu photoshop hubadili muonekano tu.
 
chek hii theme ya wordpress inaitwa themify ultra. ni ya kulipia ila ukiisearch google utaipata free. inakuja na feature ya drag and drop. unaweza kudesign website itokee vyovyote unavyotaka.
 
ipo software inaitwa artisteer yenyewe ni drag and drop unadesign templates za wordpress, blogger, joomla etc.

design muonekano wote kwenye hii software kisha export kwenda wordpress.


alternative tumia photoshop, download themes yenye psd files zake kabisa kisha tumia photoshop kuimodify unavyotaka, sema itabidi baadhi ya features ziwe included tayari kwenye hio themes sababu photoshop hubadili muonekano tu.
Mkuu nina website inaonekana kwenye pc tu...
Ukifungua kwenye simu haifunguki, nawezaje kufix hili tatizo!

Natumia theme ya Newsmag
 
Poa mkuu...nimejaribu tena imefunguka pengine network haikuwa poa!
mimi pia nina domain yangu moja ikiamua kwenye simu haifunguki, ila kwangu najua ni tatizo la domain (namecheap) sababu inaandika kabisa ile error ikitokea.
 
Back
Top Bottom