Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 886
- 1,011
Wakuu kwema humu??
Za Masiku??
Nina simu yangu ya Tecno N2 nilisahau password na kwa msaada wa watu wa hili Jukwaa plus Google/Youtube nikaweza kui-restart lakini sasa ndio inanihitaji Gmail niliyosajilia ambayo imekataa.
Nimejaribu kutafuta njia mbalimbali but nazipata za ku-bypass aina zingine za simu, sijaona ya Tecno N@ iliyofaa. Kuna ambayo nimeikuta youtube ya somebody Juma lakini still haifanyi kwa simu yangu.
Msaada wenu unahitajika kwenye hili kwa anaejua please.
Za Masiku??
Nina simu yangu ya Tecno N2 nilisahau password na kwa msaada wa watu wa hili Jukwaa plus Google/Youtube nikaweza kui-restart lakini sasa ndio inanihitaji Gmail niliyosajilia ambayo imekataa.
Nimejaribu kutafuta njia mbalimbali but nazipata za ku-bypass aina zingine za simu, sijaona ya Tecno N@ iliyofaa. Kuna ambayo nimeikuta youtube ya somebody Juma lakini still haifanyi kwa simu yangu.
Msaada wenu unahitajika kwenye hili kwa anaejua please.