Msaada jinsi kuanzisha agro-vet

ynna

Member
Jul 13, 2017
59
25
Nimehitimu Diploma ya mifugo(DAHP) nnamtaji wa million 2.5 tu, nko njombe vijijin kuna kama kata NNE hakuna mtaalam kilimo/mifugo wala vet. centre na wananch nanafuga sana Nguruwe Kuku, mbuz, kidogo ng'ombe pia wanalima nafaka maharage, mahindi na mazao ya bustan. Ahsante kwa mawazo
 
Back
Top Bottom