ynna
Member
- Jul 13, 2017
- 59
- 25
Nimehitimu Diploma ya mifugo(DAHP) nnamtaji wa million 2.5 tu, nko njombe vijijin kuna kama kata NNE hakuna mtaalam kilimo/mifugo wala vet. centre na wananch nanafuga sana Nguruwe Kuku, mbuz, kidogo ng'ombe pia wanalima nafaka maharage, mahindi na mazao ya bustan. Ahsante kwa mawazo