Patandi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 399
- 372
Kuna kijana alibambwa akiwa amejifungia chooni na Binti wa miaka 4 au 5 hivi akiwa ametelemsha suruali akijiandaa kumwingilia Binti huyo.
Raia wema walifanikiwa kuufungua mlango wa choo na kumwokoa mtoto kabla hajadhurika. Njemba huyo alipelekwa kituoni na kuwekwa ndani.
Kesho yake aliachiwa huru kwa maelezo kuwa sheria ya kubaka Haina Kipengele Cha kukusudia ni mpaka tendo lifanyike. Hivi ni kweli ndivyo ilivyo?
Raia wema walifanikiwa kuufungua mlango wa choo na kumwokoa mtoto kabla hajadhurika. Njemba huyo alipelekwa kituoni na kuwekwa ndani.
Kesho yake aliachiwa huru kwa maelezo kuwa sheria ya kubaka Haina Kipengele Cha kukusudia ni mpaka tendo lifanyike. Hivi ni kweli ndivyo ilivyo?