eRRy
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 1,125
- 204
Wanajamii wote! nachukua nafsi hii kuwashukuruni wote kwa mchango mkubwa saaana ambao mmekuwa mkiutowa kwa nyakati tofauti(mawazo, nk).
Hata hivyo mi nina mpango wa kuanzisha biashara ya madini(haa dhahabu, Almasi na Tanzanite) kuyatowa TZ na kuyauza USA.mtaji kuanzia $10,000 excluding nauli. Je nianzie wapi? vipi bei? na itahitaji license ya kuuza madini?
Thanx in advance
Hata hivyo mi nina mpango wa kuanzisha biashara ya madini(haa dhahabu, Almasi na Tanzanite) kuyatowa TZ na kuyauza USA.mtaji kuanzia $10,000 excluding nauli. Je nianzie wapi? vipi bei? na itahitaji license ya kuuza madini?
Thanx in advance