Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 48
Habari wana JF,
Jamani niko na swali moja ninalohitaji msaada wenu.
NAILIZA kuwa hivi ukinunua gari toka Zanzibar (let say as a second hand) na uko dar,ukilileta huku unapaswa kulipia tena ushuru wa kuliingiza? Au unaliingiza tu kama unavyotoka Arusha,mwanza au Mbeya?
Jamani niko na swali moja ninalohitaji msaada wenu.
NAILIZA kuwa hivi ukinunua gari toka Zanzibar (let say as a second hand) na uko dar,ukilileta huku unapaswa kulipia tena ushuru wa kuliingiza? Au unaliingiza tu kama unavyotoka Arusha,mwanza au Mbeya?