Msaada jamani! Yamenifika

Watu mna roho mbaya.Mpeni kijana moyo.Ukichunwa siku ukija kupewa ndio itakuwa tamu hasa because you deserve it baada ya kuhangaika sana.Usimsikilize Preta.
 
Hapo hamna mapenzi....
Kama una uwezo wewe hudumia tu , si papuchi yake anakupa ila usitarajie makubwa kivile kutoka kwenye hayo mahusiano.

mkuu kwan ujamuelewa!? amesema ata papuchi apewi!
 
huyo kagugeuza buzi tafuta mnaendana anawaza pesa 24hrs?
 
pole sana kjana mwenzetu, kwa uelewa nilio nao kwa hao mabinti wa saluni ni waongo vibaya sana kwanza ni wapiga mizinga hatari so achana nae anakutia umaskini
 
Hilo nilimuuliza akajibu simple kua asingekua ananitafuta mara kwa mara

Basi sawa,next time akipiga shampoo imeisha mwambie akuvumilie mambo hayako sawa,ukichomoa Mara tatu tu na namba yako atafuta!
Usiogope kulia kwake bwana,alilia hospital ndio maana mama yake akapewa alipozaliwa.
 
Kweli Mapenzi hayana adabu,,,,,kwamba shy na mikoa jirani hawajamuona huyo mdada mpaka uje umkute wewe wa dar???

hahahaha mkuu umenichekesha san, ila ni kweli maneno yako yana mashiko sana mana shinyanga napo kuna mijembe ya hatar wameshiba haooooo
 
ruhi pole unafanywa chuma ulete
 
Last edited by a moderator:
hahahaha mkuu umenichekesha san, ila ni kweli maneno yako yana mashiko sana mana shinyanga napo kuna mijembe ya hatar wameshiba haooooo
Ndio ushangae sasa,,,, shy wale wachunga ng'ombe wameshiba vile ndiyo aje amkute yeye wa dar
mla chips na mayai yasiyo na jogoo?,,,,
 
Asanteni sana, kweli nimewaelewa kwa ushauri wenu.....huyo "J" basi tena.
 
ruhi pole unafanywa chuma ulete

Kweli nimeamini huyu mdada si mgwana ata kidogo, mida hii kapiga namwambia sina pesa kwa sasa ananiambia eti nikakope ata kwa marafiki!
 

yaani hapa pamenimaliza nguvu nlichotaka kushauri kimeyeyuka
 
Unakuta jamaa kapenda kweli kweli!

Sometimes mi naona udwanzi kujiachia kwa mtu simply because ukipenda unatendwa!
 
Unalisha mbuzi ya jirani.


Hahahahahahahaahah,

Hivi ina maana vijana wa dotcom na ujanja wote hawawezi kushtukia deals ambazo ni magumashi?

Na uzee huu, bado naamini wachumba wa kweli huwa ni waangalifu kwenye kuomba omba fweza!

Huyo anatakiwa kufungua account Mkombozi Bank...lol!!
 
Hapo hamna mapenzi....
Kama una uwezo wewe hudumia tu , si papuchi yake anakupa ila usitarajie makubwa kivile kutoka kwenye hayo mahusiano.

Kasema mwenyewe hawajawai kubanjuka.hyo papuchi anapewaje tena?
 
Niwajuavo mim wadada kama kwel hujawah kufanyanae mapenz, kwake ni tatizo kubwa sana, anahisi una mwingine unayemthamin zaid mpaka kumvulia nguo zako! Anachokifanya sasa ni kukupiga mizinga ya adabu walau naye aambulie japo pesa tu dushe si unambaniaa!
 

Duuh! ya kweli haya?
 
Mtoto mjini huyo ashapata ATM yake ya muda, kimbia mtu kabla hujafulia maana atatumia mbinu nyingi za kupata pesa kutoka kwako lakini ujue wanaoombwa pesa ni wengi na pia walaji au watumiaji wa papuchi pia atakuwa nao wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…