JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
Naombeni msaada wenu,leo nilikuwa nachat na m-dada moja hivi nikamuuliza habari ya kupotea akanijibu "nimepotea wapi hivi umechanganyikiwa jana si nimechat na wewe" nikacheka kwani najua sijachat nae karibia mwaka sasa,akaniambia siku zote tunachat na kuongea kwenye simu leo inakuwaje namuambia ameadimika.ilikuzibitisha anakayo ya sema akaniambia messanger yake ame-select sehemu ya ku-save data za watu wote anaochat nao na akanitumia maongezi (text) ambazo zinaonyesha mda na siku na maneno.
Nilistuka sana nikaingia kwenye email ilikubadilisha password nika kutana na hii MSG hapa chini
nimejaza maswali hayo na sijafanikiwa kuingia kwenye A/C yangu ya Yahoo!
msaada tafadhali.
Nilistuka sana nikaingia kwenye email ilikubadilisha password nika kutana na hii MSG hapa chini
nimejaza maswali hayo na sijafanikiwa kuingia kwenye A/C yangu ya Yahoo!
msaada tafadhali.