Msaada jamani ninapiga bao 3 kila siku labda itokee nimesafiri tu.

Msaada jamani ninapiga bao 3 kila siku labda itokee nimesafiri tu.

shimwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
213
Reaction score
82
mimi nimeoa miaka mitano iliyopita nimebahatila kupata watoto 3 wa me 2 na ke 1 tatizo ninalotaka nipatiwe ushauri nimebadirila ghafla mno kila siku napiga bao 3! ambapo hiyo hali sikuwa na toka awali
 
Acha kucheza mpira,amia kwenye kupiga mbizi.
 
Huyu ni baba wa watoto watatu...????!!!!
 
Tumekusikia ila hukutuambia ukiwa na nani isijekuwa ni huko mitaani ukamletea ugonjwa mwenzako. Kama ni huyo huyo je naye anajisikia au ni ule mfumo dume kuwa nimekulipia mahari ili unitoe genye zangu?
 
Huyo mke wako mvumilivu sana yaani unapiga tatu kwa siku unalalamika kuwa umepunguza sasa kabla je???? Huna tatizo halafu mwonee huruma mtoto wa mwenzeo analala saa ngapi maana kama ni bao tatu za ukweli nadhani ni balaa labda kama uwe unakojoa kama bata ukigusa tu kitu chachaaa chachaaa.
 
onana na mjukuu wa babu yuko Kariakoo mtaani wa Mafia tabibu mzuri pga 0716155719
 
Kabla hujaamua kupost haya madangi ulishauriana na mkeo??
piga namba 112 uwaeleze tatizo lako watakusaidia
ASANTE..!
 
Cabinet yako imejaa mipira.. kama ya CR7 ama MESSI...
wao hupiga "hati triki" kila mechi, afu wanaondoka na mpira..
..ila usijali, piga tu hizo hati triki, tizama saivi hata RvP hafungi tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom