Msaada jamani: je ni sawa?

Msaada jamani: je ni sawa?

mwambie kuwa hiyo hali huipendi...kwani mwanzo hakuwa hivyo...kama amekuchoka bora aseme kuliko kununanuna kwa vitu vidogo...alaf mskize majibu yake....au km anaona kuna kitu hakipo sawa aweke bayana....mwambie unateseka kwa tabia yake.
 
Ayaaaaah!
Na jee anakuambiaga ni kwanini anajuta?

Niljaribu kufanya uchunguzi kidogo nikagunndua marafiki zake wengi wana ndoa zenye matatzo, wengine wameachwa/ wengine wamewatawala wanaume wao na wengine hawana ndoa, wengine wamewafukuza waume zao.. Alafu hata wazazi wake hawaishi pamoja zaidi ya miaka 30 na wana ndoa! Wakati mwingine husema bora niishi peke yangu, mbona hata mama anaishi mwenyewe!
 
Halafu mara nyingi tuwapo tumelala hupenda sana kumlaza mtoto katikati sijuagi ana maana gani! Ukimuuliza husema ili mtoto apate joto!
 
Niljaribu kufanya uchunguzi kidogo nikagunndua marafiki zake wengi wana ndoa zenye matatzo, wengine wameachwa/ wengine wamewatawala wanaume wao na wengine hawana ndoa, wengine wamewafukuza waume zao.. Alafu hata wazazi wake hawaishi pamoja zaidi ya miaka 30 na wana ndoa! Wakati mwingine husema bora niishi peke yangu, mbona hata mama anaishi mwenyewe!

Unaonaeee? Ameathirika kisaikolojia na kimazingira!
 
Acha uoga,usimuwazie sana,ata kama anafanya ufusika,cha msingi ni wewe concetrate ni kwa namna gani unaweza ukarudisha biashara yako katika right positions,pengine msaada wake kwako sometyime ndio unaomfanya akushibe.
 
Acha uoga,usimuwazie sana,ata kama anafanya ufusika,cha msingi ni wewe concetrate ni kwa namna gani unaweza ukarudisha biashara yako katika right positions,pengine msaada wake kwako sometyime ndio unaomfanya akushibe.

wewe tele unmdanganya mwenzio yaani concetrat na bussnes akija kwa mkewe amwangalie tu au apige vitu na kupata ukimwi coz atakuwana kadume kanakomsumbua
 
Chezea ndoa bila pesa virutubisho kwisha....... pole sana!!! wataalamu wa ndoa watakushauri
 
Hamna ndoa hapo.Ninyi ni majirani mnaotembeleana tu.Kunahitajika marekebisho ya hali ya juu mkuu.
 
kumbe huyo mtoto mmoja mlie nae ni wa nje ya ndoa? atasemaje hampendi mtoto asiyemfahamu wala hajawahi kumuona? huna kinacho kuunganisha na huyo mke wako hasa kama anaishi mkoa tofauti na wewe ni dhahili kuwa yuko na mtu mwingine, kwa nini akatae kuongozana na wewe hata kama mnaenda kanisani? jibu unalo mpendwa
 
Halafu mara nyingi tuwapo tumelala hupenda sana kumlaza mtoto katikati sijuagi ana maana gani! Ukimuuliza husema ili mtoto apate joto!

Akunyimae hakwambii sitaki... anakupaga tam kweli??
 
Wanawake wa kibongo wakikupita kipato huwa wanazingua sana yaani.Pole kaka.
 
Mimi nina mke na mtoto mmoja, kwa bahati mbaya mke wangu anaishi mbali na mimi mikoa tofauti, tunaishi hivyo kwa kuwa yeye ni mwajiriwa wa serikali na mimi ni mfanyabiashara, hivyo bado hajapata uhamisho wa kunifata mimi. Tumefunga ndoa na ndoa yetu ina mwaka na miezi 6 huwa tunatembeleana kila panapopatikana nafasi... Lakini cha kushangaza ni kwamba ninapomtembelea mke wangu huyo huwa hapendi kabisa kutembea na mimi! Kwa mfano siku za jumapili ukimwambia twende kanisani haendi!. Lakini nikiwa sipo anaenda ukimuuliza hana sababu. Hata pengine anaenda sehemu hawezi kamwe kukubali muende pamoja, katika mazungumzo yetu sametime ananiambia sijui kusalimia, mara hawezi kwenda na mimi popote! Tena anaapia! Kwa kweli kimshiko mimi kabla ya kufunga nae ndoa nilikuwa vizuri kwani hata nnyumba nimejenga, lakini kutokana na mambo fulani biashara imekata sana, hivyo sametime hunipiga tafu hasa upande wa familia... TATIZO LINGINE ALILONALO NI MTU ANAENUNA KWA JAMBO DOGO SANA! Tukiwa pam

hataki muongozane? nimestuka sana " ukosee kujenga nyumba kuliko kukosema kuoa"
 
Ndoa Ngumu Jaman, Matatizo Yako Nayangu Nikama Pacha Japo Naona Yako Yanaahueni Kidogo, Mwenyewe Mumewangu Nikama Huyo Mkeo, Ila Najidai Sioni Kero Zake Ili Nipate Amani Japo Nataman Nitoke, Vumilia Ukishindwa Lea Wanao Muache Aishi Atakavyo Asijekuua Napresha Bure
 
Ndoa Ngumu Jaman, Matatizo Yako Nayangu Nikama Pacha Japo Naona Yako Yanaahueni Kidogo, Mwenyewe Mumewangu Nikama Huyo Mkeo, Ila Najidai Sioni Kero Zake Ili Nipate Amani Japo Nataman Nitoke, Vumilia Ukishindwa Lea Wanao Muache Aishi Atakavyo Asijekuua Napresha Bure

imebidi nicheke. Huu ushauri uliompa, mimi nauchukua kama ulivyo, halafu nakurudishia wewe. Unaweza kukusidia kwenye ndoa yako dadaa.
 
kwanini umeingia ktk ndoa ilhali akili yako bado ndogo..??

Ungesubiri ukue kwanza.
 
Sasa hapa unaomba ushauriwe nin,mbona kila kitu kiko clear?huyo mwanamke ana mwanaume mwingine huko aliko!mbona haihitaji hata darasa kuligundua hilo?
 
Sasa hapa unaomba ushauriwe nin,mbona kila kitu kiko clear?huyo mwanamke ana mwanaume mwingine huko aliko!mbona haihitajiki hata semina elekezi kuligundua hilo!
 
Back
Top Bottom