Huyo ana mimba ila anataka itoke bila uchungu. Kuna nesi aliwahi kuniambia kuwa kama mwanamke akipata mimba then akimeza hivyo vidonge, basi vitaharibu mimba then itatoka kama mzunguko wa hedhi wa mwanamke wa kawaida
Kweli kabisa mkuu.Huyo ana mimba ila anataka itoke bila uchungu. Kuna nesi aliwahi kuniambia kuwa kama mwanamke akipata mimba then akimeza hivyo vidonge, basi vitaharibu mimba then itatoka kama mzunguko wa hedhi wa mwanamke wa kawaida
Hayaui. Hata angemeza pakti zima..idadi ya madonge aliyomeza yanatisha sana.ndo mana simuelewi elewi.
Jamani msaidiz wetu wa kazi kameza vidonge 14 vile vya uzazi wa mpango.je kuna madhara?mpaka sasa namuona ana nguvu kama kawaida.kuna madhara kiafya.anadai hajaöa siku zake.
Hayaui. Hata angemeza pakti zima..
Hayaui. Hata angemeza pakti zima..
Haina shida kabisa, na kwa taarifa yako baada ya masaa 24 dawa itakua imepotea kabisa kwenye system yake. ila niulize kwanza, alikunywa 14 za mwanzo au 14 za mwisho, za kati, au alimeza random?
ulimgonga lini
mara ya mwisho?
mara ya mwisho ni siku mbili zilizopita.Nipo nae hapa jirani yangu.
mkuu, nyie ndio mnaowaruki mabeki3 kisha mnawatolea nje? Kama umenogewa oa ili mufaidi watoto labda mtoto mwenye alikuwa huyo huyo.